Mbunge wa Karagwe aomba Rais Magufuli alipopigia push up ujengwe uwanja wa kumbukumbu!

Mbunge wa Karagwe aomba Rais Magufuli alipopigia push up ujengwe uwanja wa kumbukumbu!

Kweli nape aliona mbali kuzuia bunge live,maana aliona wooote waliongia ki ccm,hewa
 
Baada ya kutolewa vile vichwa vya upinzani mlitegemea nini mle bungeni? Anaposimama mbunge wa ccm tegemea kumsifu Naibu Spika, halafu ajitahidi kuwapuuza waliotoka nje. Anamalizia kutetea posho yao na kiinua mgongo. Akimalizia anakuja na urojo mkuu. Unacho shangaa zaidi ni makofiii na nderemoooo za kumsifia ushuzi wake. Awamu hii, tuhesabu miaka 5 iloliwa na nzige
 
Kweli huwezi amini huyu mtu analipwa kwa kodi yangu anaongea upupu kiasi hiki..
 
Amna jipya huyu Mbunge alishawai kusema wanaume wa karagwe wanaogopa kuoa wanawake wazuri teh teh
 
CCM Mataahira wengi I see, Luna yule Dada aliyetamani kulia , kuna Lusinde, kuna aliyetaka Sanamu ya sijui nani yule mwamziki, badala ya Askari Luna huyu anayetaka makumbusho ya kubong,oa maana niliziona hazikuwa hata push up. Yaani naona aibu utadhani inanihusu vile.
 
Huyu si mdiye yule aliyesema jimboni kwake wanaume hawaoi wanawake wazuri?
Halafu kwa mshangao utashangaa wananchi wanamchagua tena awamu ijayo.
Wananchi wangekua wanajua umuhimu wa kumchagua mbunge makini Lusinde asingerudi awamu hii, wananchi wa Karagwe mkifuata nyayo za wananhi wa mtera na nyie msije kushangaa mkaanza kula viwavi jeshi.ni angalizo tu.....
 
Ukiwa miongoni mwa Magamba inabidi ukubali kukabidhi akili zako kwa kuku, hasa nyakati za mchana.
 
Hawa ndo wale utaskia wakimwomba mkulu teua dimond platinumz awe waziri wa Sanaa na michezo maana anafanya vzuri kwene mziki.. [emoji3][emoji3][emoji3]
 
Ccm Wamewarudisha wabunge wao na chama chao miaka 50 nyuma kimawazo na kiakili!
 
Back
Top Bottom