Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbulu we mwanao akikunyea mkononi utakata kiganja cha mkono wako?!!!Wote walewale,alieuliza swali na aliyejibu,wananchi wa jimbo la Mtama na Karagwe wapime akili
Huyo Mheshimiwa kwa kujua au bila kujua ndio keshajipigia muhuri wa kuwa Mbunge atakayetumikia kipindi kimoja tu.Watu wa jimbo lake haki ya mama waliingia choo cha shimo!
Mungu Wangu hawa Jamaa ndo maana wanabidi wawe very careful nadhani bora angeomba fumigation Ya hao funza kweli wanatuwakilisha vilivyo. Jf kiboko yao
Hivi hawa wabunge wa CCM wana shida gani kichwani mwao?
Akiingia home jioni,anapanua mikono eti baba katoka kazinNNi balaa mkuu........sijui mtu kama huyo familia yake inajisikiaje wanapomsikia mzazi anaongea kama hivyo?
Wananchi waliliona hili na kumwomba Mzee Warioba aliweke katika muswada wa katiba mpya, lakini ndugu zetu wa CCM kwa kujua hali zao zilivyo waliikataa Katiba ya Wananchi. Ule Muswada wa Katiba ya Wananchi ulikuwa na majibu karibia asilimia 90 ya masuala ambayo JPM anahangaika nayo leo hii kwa kutumia mkono mmoja wa chuma! Inasikitisha sana.Hivi hakuna sheria ya kumvua ubunge?
Mkuu,familia ilishazoea pumba na isitoshe iliona kama ni bonge la hoja,maana maji hufuata mkondoNNi balaa mkuu........sijui mtu kama huyo familia yake inajisikiaje wanapomsikia mzazi anaongea kama hivyo?
Pwagu na pwaguziswali la kisanii limejibiwa na msanii
Wote ni wamoja mkuuMbunge gani? nape au Huyo mtoa hoja?
Wote wamojaMimi muuliza swali wala hajanishangaza, aliyenishangaza ni waziri aliyejibu, kwa uelewa wangu mdogo sifa ya ubunge ni kujua kusoma na kuandika, kwa hiyo mbunge akiongea pumba sishtuki sana, ila najua sifa ya uwaziri ni zaidi ya kujua kusoma na kuandika, sasa waziri akijibu pumba ndo hapo nashangaa sana.