Huyu munge simjui, ila nimemjulia tu juu juu baada ya kusikia kutoka kwa Nape Nauye, kwamba wameshapanga kujenga sanamu ya Rais akipiga Push-up jimboni kwake. Hili ni swala la fedhea na aibu kubwa.
Nashindwa kuelewa. Hivi huyu mbunge alichaguliwa na Magu au alichaguliwa na wananchi? Hii sanamu ndio maendeleo anayowaletea? Majanga hayaishi Tanzania
Ndiye huyu aliyesema kwamba, wapiga kura wake hawawezi kuoa wanawake wazuri wakiofia kuchukuliwa na wanajeshi. This is absurd.
Wana Karagwe wamepata Majanga !