DaudiAiko
JF-Expert Member
- Dec 2, 2012
- 372
- 310
Nafikiri serikali inashindwa kutupa jibu kamili la kama tatizo la Corona nili kubwa kiasi cha kutufanya kuchukua hatua zinazo chukuliwa na nchi zingine kama vile lockdown. Ina wezekana kwa kiasi kikubwa kwamba
1. Tatizo la Corona halipo
2. Tatizo la Corona lipo lakini sio kwa kiasi ambacho ni hatari kwa wananchi
3. Tatizo la Corona lipo kwa kiasi kikubwa, wengi wame athirika, lakini lockdown imepigwa marufuku...
1. Tatizo la Corona halipo
2. Tatizo la Corona lipo lakini sio kwa kiasi ambacho ni hatari kwa wananchi
3. Tatizo la Corona lipo kwa kiasi kikubwa, wengi wame athirika, lakini lockdown imepigwa marufuku...