Transcend
JF-Expert Member
- Jan 2, 2015
- 20,548
- 63,038
Wetu kina nani..?Akihama Mnyika, Nassari na Prof Jay lazima uti wa mgongo wenu utatingishika. Subiri.
Sio kila unaemuona shamba ni mkulima mkuu.. [emoji41][emoji41]!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wetu kina nani..?Akihama Mnyika, Nassari na Prof Jay lazima uti wa mgongo wenu utatingishika. Subiri.
Kwa maana hiyo wewe ndiye uliyemwandalia hotuba? Kama siyo, umejuaje kama watatangaza kujiuzulu? Na kama hawakujiuzulu utafanya nini? Hizi prediction za kishamba sana na zinaonyesha jinsi mlivyo weupe upstairs! Yaani hamjui hata namna ya ku-propagate zaidi ya kukurupuka na kuweka madhanio yenu as if unamjua sana mnyika na hata anayowaza! Usihamishe goli hapa mleteni Mo wa watu!Habari ambazo zimenifikia mimi Hivi Punde kutoka kwa Mnyetishaji wangu ndani ya CHADEMA ni kwamba, Mh John Mnyika , Mbunge wa Kibamba ( CHADEMA ) ataongea na waandishi wa habari wakati wowote kuanzia jumatatu ya October 15,2018.
Atakuwa na Mh. Joshua Nassari na Joseph Haule, wote kutoka CHADEMA.
Mbowe atakula nyama zake.
Muda utaongea.
Naona bado hujaelewa kuwa watz wanachagua mtu siyo chama kwa sasa ndiyo maana wanaoihama chadema bado wanashinda chaguzi za marudioWawachukue wote Kisha waone wapigakura misimamo yao iko wapi.
Mbunge Ni mtu mmoja. Ambaye alichakuliwa na watu zaidi ya elfu hamsini
Sasa hao waliomchagua wapo fungi gani. Kahama nao ?????????
Kwani wakati chadema inaanza hao wanaotoka walikuwepo?Mtumeee
Chadrama kwishney walahi
Wanaodai kuwa uhamaji umekuwa kitu cha kawaida wanajidanganya sana. Matukio ya kuhama bado yanaendelea kusumbua vichwa vya watu. Kama ingekuwa kitu kidicho cha kawaida tusingeona kuhamia kwa Mkundi wa Ukerewe kukiongelewa humu wakati alihama siku moja ambayo ndo habari za Mo kutekwa zilibamba sana.Sasa hivi imekuwa too common...!
Mtu akihama hata hushtuki yaani.
Hivi mkuu wabunge na madiwani wangapi wamehama ...Wanaodai kuwa uhamaji umekuwa kitu cha kawaida wanajidanganya sana. Matukio ya kuhama bado yanaendelea kusumbua vichwa vya watu. Kama ingekuwa kitu kidicho cha kawaida tusingeona kuhamia kwa Mkundi wa Ukerewe kukiongelewa humu wakati alihama siku moja ambayo ndo habari za Mo kutekwa zilibamba sana.
Aje ahame Mnyika kweli halafu udai ni suala la kawaida kweli?