Tetesi: Mbunge wa Kibamba ( CHADEMA) , Mheshimiwa John Mnyika kuongea na wanahabari Jijini Dsm

Tetesi: Mbunge wa Kibamba ( CHADEMA) , Mheshimiwa John Mnyika kuongea na wanahabari Jijini Dsm

CCM ni tatizo kubwa zaidi kuliko boss,bosses come and go,matatizo yetu hayajaanza kwa huyu mpya mengine mnamuonea tu,huu nimuendelezo tu,chama kilichokuwa na dhamana ya utawala kwa miaka zaidi ya hamsini,nchi yenye rasilimali za kumwaga kama hii,Huu ni Mwaka 2018 lakini bado vitu kama barabara,huduma za afya,maji,elimu na umeme ni changamoto,na vinatumika kama mtaji wa siasa,basic needs ambazo walitakiwa wawe wameshazi sort out walau ndani ya miaka 30 ya utawala wao lakini wapiii.sasa ukiwa mfuasi na mwanachama wa mfumo huu kandamizi ilhali unajua kinachoendelea,tukuchulieje?.
Siku nikiwa mwanachama wa ccm naomba Mungu anipumzishe hakika.
 
huu upumbavu wa kujifanya mna uchungu na kodi zetu sijui umeanza lini? Watu mlisusa katikati ya mchakato wa katiba mpya huku mkijua tumechoma billions of money tena kwa jambo la kijinga kabisa.Nani kakosa choo kisa idadi ya serikali za muungano kuwa mbili?
 
Mkuu unajua nguvu ya mitandao ya kijamii? Mbona una_Underestimate nguvu ya mitandao ya kijamii?

Katiba Mpya ndio suluhu ya kuindoa pilccm na NEC yake kujihusisha/Kukibeba SISIEMU.

Watawala wa mkono wa chuma huondolewa na nguvu ya umma,tunaanza hivi hivi kwa kucomment kisha vitu vinaenda viral,watawala wa mikono ya chuma wanapenda sana kuspot mtu mmoja mmoja na kumpoteza mazima,haishauriwi kutoka mmoja mmoja bila kuwa na nguvu ya umma.
Ni kweli kuna nguvu ya mitandao ya kijamii,lakini sidhani kama ina zaidi ya hata 5% katika kuleta influence kwenye watu walio wengi katika taifa hili

Kuhusu hiyo katiba mpya imekua wimbo unaochuja sasa..wabunge tuliowaamini wako busy kuhama na sisi tuko busy kutoa comments huku,baadae ikifika uchaguzi sisi ndio wa kwanza kulilia tena

Yani haya mambo ya kulilia yashakua sehemu ya maisha yetu huku kwenye mitandao miaka nenda rudi
 
...ivi kwa nini wote wasihamie CCM? ingependeza sanaaaa....mambo ni FIRE/motoooooo
 
Ni kweli kuna nguvu ya mitandao ya kijamii,lakini sidhani kama ina zaidi ya hata 5% katika kuleta influence kwenye watu walio wengi katika taifa hili

Kuhusu hiyo katiba mpya imekua wimbo unaochuja sasa..wabunge tuliowaamini wako busy kuhama na sisi tuko busy kutoa comments huku,baadae ikifika uchaguzi sisi ndio wa kwanza kulilia tena

Yani haya mambo ya kulilia yashakua sehemu ya maisha yetu huku kwenye mitandao miaka nenda rudi
Mapinduzi kazi ngumu yanahitaji sayansi hasa kwenye awamu hii ya mkono wa chuma hauendi kichwa kichwa mwanangu inahitaji timing.

Hiyo hiyo 5% ni kubwa mno,maana mie nikijua issue kwenye mitandao nawaambia watu wasiokuwepo kwenye mitandao na wao pia wanawaelezea marafiki zao ndivyo habari zinavyoenea sio lazima wote tuwe kwenye mitandao,wachache tu wanatosha...Tell a friend to tell a friends.
 
Kwanza ninashangaa mtu mwenye akili zako kamili unashabikia kuingia garama za kurudia uchaguzi majimbo ambayo yana wabunge na ni wabunge hao hao watakao kwenda kugombea tena, hivi ni nani aliwaloga watanzania mbona wenzetu hapa Kenya tu jirani na sisi wako tofauti kabisa kimawazo tunatatizo gani sisi? Sasa kwanini tusiwe masikini milele kama ndo vitu tunavyoona vya kushabikia hivyo. Mtanzania tena mlipa kodi unanufaika vipi mbunge akiacha jimbo lake na kuchaguliwa tena katika jimbo hilohilo. Mbona mi siyo mwanasiasa lakini naumia sana kodi ninayolipa halafu inatumika kwenye hayo mambo. Sijui tunapata wapi ujasiri wa kushabikia mambo yanayotutia umaskini mi binafisi hivyo vitendo sioni tofauti na uhujumu uchumi kwakweli. Kama Mbunge anajihuzulu aache huo ubunge asigombee tena lakini leo anaacha kesho anaomba kuchaguliwa awe Mbunge wa jimbo hilohilo, hapana kwakweli huko ni kutuletea umaskini kwa makusudi. Hata kujitegemea nchi haijaweza inategemea misaada halafu kidogo tunachopata kinachezewa kwenye hizo chaguzi za marudio. Mungu iokoe nchi yangu isiangamie.
Mlitaka democrasia Kubalini na gharama zake. Demokrasia ni ghali na hii ni sehemu ya huo ughali wake.
 
Mapinduzi kazi ngumu yanahitaji sayansi hasa kwenye awamu hii ya mkono wa chuma hauendi kichwa kichwa mwanangu inahitaji timing.

Hiyo hiyo 5% ni kubwa mno,maana mie nikijua issue kwenye mitandao nawaambia watu wasiokuwepo kwenye mitandao na wao pia wanawaelezea marafiki zao ndivyo habari zinavyoenea sio lazima wote tuwe kwenye mitandao,wachache tu wanatosha...Tell a friend to tell a friends.
Wewe wasema
 
Wabantu/waafrika tuna matatizo. Wakati mwingine nawaza labda tungekua wote kama taifa ni kabila moja labda tungefanya vizuri kama taifa. Lakini, nikiwaza mbele na refer Somalia ambako ni kabila moja ila chuki cha kubaguana kikoo zinawamaliza. Basi alimradi waafrika ni viumbe wa ajabu kupata kutokea ktk dunia hii.
 
Akihama Mnyika, Nassari na Prof Jay lazima uti wa mgongo wenu utatingishika. Subiri.
Ameondoka Dr Slaa mkaona chama kinazidi kuwa strong mmepata wenge,Ngoja niwaambie ukweli watu wa sisimu ili msiendelee kupoteza fedha kununua "MALAYA WA KISIASA" CHADEMA SIO MTU, hata akiondoka MBOWE Chadema itaendelea.
 
Habari wakuu

Sinampango wowote wa kuongea na waandishi wa habari popote na siku yeyote ile

Naendelea na kazi zangu za ujenzi wa chama na kuimarisha kazi zangu za kibunge jimboni kwangu


JJ-Mnyika
Mb-Kibamba
Dsm

14/10/2018
 
Habari wakuu

Sinampango wowote wa kuongea na waandishi wa habari popote na siku yeyote ile

Naendelea na kazi zangu za ujenzi wa chama na kuimarisha kazi zangu za kibunge jimboni kwangu


JJ-Mnyika
Mb-Kibamba
Dsm

14/10/2018

Kazi kwenu Invisible
 
Habari wakuu

Sinampango wowote wa kuongea na waandishi wa habari popote na siku yeyote ile

Naendelea na kazi zangu za ujenzi wa chama na kuimarisha kazi zangu za kibunge jimboni kwangu


JJ-Mnyika
Mb-Kibamba
Dsm

14/10/2018
 
Habari wakuu

Sinampango wowote wa kuongea na waandishi wa habari popote na siku yeyote ile

Naendelea na kazi zangu za ujenzi wa chama na kuimarisha kazi zangu za kibunge jimboni kwangu


JJ-Mnyika
Mb-Kibamba
Dsm

14/10/2018

CCM Kwa Umbea, mtatiwa vidole vya macho
 
Kuna wapumbavu wanaeneza uvumi wa kijinga badala ya kutuambia alipo Mo..nataka mtutoe kwenye mstari....
 
Back
Top Bottom