Tetesi: Mbunge wa Kibamba ( CHADEMA) , Mheshimiwa John Mnyika kuongea na wanahabari Jijini Dsm

Tetesi: Mbunge wa Kibamba ( CHADEMA) , Mheshimiwa John Mnyika kuongea na wanahabari Jijini Dsm

Hicho kingine kitoke wapi Maana ajenda kuu ni kufuta vyama pinzani, ili kusimika utawala wa kudumu
Nataka chadema ife ili kije kingine ambacho hakina sura ya Uchaga.
Napenda sana upinzani ila chadema imekaa kichaga zaidi na kudharau makabila mengine. Eti 'kiasaka' nyoooo
 
Wafanye haraka sana waende chama kijisafishe na kujitafakari


Pia lowasa na watu wake waende haraka

Tuanzw moja
 
Ndo ujamaa ulivo wote muwe uniform matajiri watashugulikiwa wote ili wote wafanane,walioona mbali wamelala mbele
Wachaga wapo million ngapi ?! Kije kingine kipi?! CCM haitaki upinzani wa dhati inayohatarisha uwepo wake. Hebu angalia wanavyotumia vibaya hazina, kuhakikisha waTz wanabaki kuwa kondoo wasiojielewa
 
Kwanza ninashangaa mtu mwenye akili zako kamili unashabikia kuingia garama za kurudia uchaguzi majimbo ambayo yana wabunge na ni wabunge hao hao watakao kwenda kugombea tena, hivi ni nani aliwaloga watanzania mbona wenzetu hapa Kenya tu jirani na sisi wako tofauti kabisa kimawazo tunatatizo gani sisi? Sasa kwanini tusiwe masikini milele kama ndo vitu tunavyoona vya kushabikia hivyo. Mtanzania tena mlipa kodi unanufaika vipi mbunge akiacha jimbo lake na kuchaguliwa tena katika jimbo hilohilo. Mbona mi siyo mwanasiasa lakini naumia sana kodi ninayolipa halafu inatumika kwenye hayo mambo. Sijui tunapata wapi ujasiri wa kushabikia mambo yanayotutia umaskini mi binafisi hivyo vitendo sioni tofauti na uhujumu uchumi kwakweli. Kama Mbunge anajihuzulu aache huo ubunge asigombee tena lakini leo anaacha kesho anaomba kuchaguliwa awe Mbunge wa jimbo hilohilo, hapana kwakweli huko ni kutuletea umaskini kwa makusudi. Hata kujitegemea nchi haijaweza inategemea misaada halafu kidogo tunachopata kinachezewa kwenye hizo chaguzi za marudio. Mungu iokoe nchi yangu isiangamie.
Mkuu wala usiwe na shaka. Wabunge wahame wasihame, hakuna utakachoongezewa au kupunguziwa.

Hizo hela hata zisingefanya uchaguzi, basi zingeishia midomoni mwa watu
 
Fyekelea mbali ni balaa, Chadema atabaki mwenyekiti wa kudumu na Salary slip. Chadema ina laana ya Dr. Slaa. Karma inafanya kazi.
Dah...yaani kama mwenyekiti asingekuwa na tamaa zake.....akaielewa na Ile falsafa ya "mzoga" ya Mpendazoe...nchi ingekuwa mbali kidemokrasia...[emoji41] [emoji87]
 
Watanzania tuna vichukia vyama vya siasa na team pinzani za mpira (Yanga vs Simba) kuliko kuchukia umasikini
Ikitokea watu wote wakahamia chama kimoja na vingine vyote vikafa tutafaidika na nini?
Kuna wengi ni kuunga mkono bila kufikiria faida au hasara, pia hawajui huenda wanao washawishi kuhamia chama flani lengo lao ni kubaki madarakani maana upizani hautakuwepo
 
Mbona wakifanyaga wengine hamuongei hivi...yani imemkukera inaelekea....ndo isubiri Hata ukimind wenzako watatilia maanani
Mkuu unaweza kuwa na point lkn kwa akiri ya kawaida mwaka huu is too much
 
Mbona wabunge wa viti maalumu siwaoni kijitoa upinzani na kujiunga na ccm kuunga mkono juhudi za mweshimiwa?
 
CCM hawana tofauti na wachawi/wanga.

Wao kazi yao kusumbuasumbua wenzao tu kwa roho zao zakishetani lakini hawana maendeleo yoyote zaidi ya kuloga na kuongeza idadi ya wachawi.

Ubaya ni kuwa wachawi wanaoongezwa ni watu tuliodhani wamekomboleka kifikra na tukawapa dhamana ya kutuwakilisha makapuku katika bunge na sirikali.


Tuendelee kuunga mkono juhudi za kujenga Tanzania ya 'viwonder'
 
Kwanza ninashangaa mtu mwenye akili zako kamili unashabikia kuingia garama za kurudia uchaguzi majimbo ambayo yana wabunge na ni wabunge hao hao watakao kwenda kugombea tena, hivi ni nani aliwaloga watanzania mbona wenzetu hapa Kenya tu jirani na sisi wako tofauti kabisa kimawazo tunatatizo gani sisi? Sasa kwanini tusiwe masikini milele kama ndo vitu tunavyoona vya kushabikia hivyo. Mtanzania tena mlipa kodi unanufaika vipi mbunge akiacha jimbo lake na kuchaguliwa tena katika jimbo hilohilo. Mbona mi siyo mwanasiasa lakini naumia sana kodi ninayolipa halafu inatumika kwenye hayo mambo. Sijui tunapata wapi ujasiri wa kushabikia mambo yanayotutia umaskini mi binafisi hivyo vitendo sioni tofauti na uhujumu uchumi kwakweli. Kama Mbunge anajihuzulu aache huo ubunge asigombee tena lakini leo anaacha kesho anaomba kuchaguliwa awe Mbunge wa jimbo hilohilo, hapana kwakweli huko ni kutuletea umaskini kwa makusudi. Hata kujitegemea nchi haijaweza inategemea misaada halafu kidogo tunachopata kinachezewa kwenye hizo chaguzi za marudio. Mungu iokoe nchi yangu isiangamie.
Mkuu ukisoma hapo nilipokoleza unaweza kuwa na chuki na kila mwanasisiemu.
Mi nawaona kama boss wao tu.
 
Nataka chadema ife ili kije kingine ambacho hakina sura ya Uchaga.
Napenda sana upinzani ila chadema imekaa kichaga zaidi na kudharau makabila mengine. Eti 'kiasaka' nyoooo
Kuwa na chuki na aliyekuzidi ni sawa na kumchukia babako kisa kakunyima urisi.
 
Watanzania tuna vichukia vyama vya siasa na team pinzani za mpira (Yanga vs Simba) kuliko kuchukia umasikini
Ikitokea watu wote wakahamia chama kimoja na vingine vyote vikafa tutafaidika na nini?
Kuna wengi ni kuunga mkono bila kufikiria faida au hasara, pia hawajui huenda wanao washawishi kuhamia chama flani lengo lao ni kubaki madarakani maana upizani hautakuwepo
Tatizo ni usanii wa viongozi wa vyama vya upinzani wanahubiri demokrasia wasioiishi. Mbowe amejiweka mwenyekiti wa maisha huku akihubiri demokrasia kila siku.
 
Hawa wakihamia CCM,basi Chadema ijiangalie upya,Mbowe maskini Ruzuku inazidi kupungua.
 
Chadema ikifa ni tanzania imekufa.
Niamini.
Hebu fikiria wote tuanze kuimba nyimbo za kusifu wakati watanzania wanapotea.
Tuanze kusifu wakati kila kitu kikienda kujengwa kwenye kijiji kile bila hata bunge kujua.
Mwisho wa siku aje awe wa maisha kama hatutakunywa maji na birika.
Mipumbavu haiwazi hayo uliyoandika inawaza mwenge na mapambio ya kusifu tu.
 
Nimekumbuka hama hama ya watu mashuhuri ndani
ya ccm kuhamia CHADEMa wakati mh. alipohamia
chadema na kuonyesha kila dalili za chadema kushinda urais.
Uchaguzi ulipita salama.na ccm ikashinda maisha yakaendelea.

Kuelekea 2020 kila mwenye macho haambiwi tazama.
matunda ya chadema yaliyozaliwa na mzabibu
ndani ya ccm yaanza kuvuta nyuki kuingia ccm kwa wingi.
Namwomba Mungu anipe uzima ili 2025
nishuhudie hizi mbio kuelekea upande wa pili
maana wakati huo hatujui nani maarufu atahamia upinzani.
 
Back
Top Bottom