Tetesi: Mbunge wa Kibamba ( CHADEMA) , Mheshimiwa John Mnyika kuongea na wanahabari Jijini Dsm

Tetesi: Mbunge wa Kibamba ( CHADEMA) , Mheshimiwa John Mnyika kuongea na wanahabari Jijini Dsm

Nini hatima ya wabunge wa kuteuliwa wa chadema. Kama waliosababisha wawepo wanahama ratio si imepungua? Na je , kama imepungua ,hawawezi kuenguliwa? Wanasheria msaada pls.
 
Alishastuka mapema ndio mana hata haangaiki kujenga HQ za chama wamebakia na lile jengo lao la mabanzi pale Dar
 
Watu wanasema chadema inakufa chadema inakufa halafu ukiwauliza kwanini inakufa utasikia eti wabunge/madiwani wanahama yaani majibu ya kiupuuzi kama ya prof aliyeshindwa kujibu swali la civics la form one.

Chadema haiwezi kufa kwa sababu ya hamahama ya mayalamayala wa kisiasa,ukiaangalia kwa jicho la tatu ccm ndio imekufa inaishi kwa kutegemea msaada wa policcm na NEC baasi.
 
Hata ahame Mbowe sitaisaliti Imani yangu ya uanamageuzi kamweee....ccm Ni Chaka la wezi na wauwaji tu ever....ova.
 
Amakweli chadema ni moto wa kuotea mbali ,ccm wametegwa kwa ulimbo na wamenaswa ccm woteee , taarifa zitakuwa zinarudi cdm kama ccm hawafahamu hilo basi mfahamu Mbowe ni interejensia mkali sana
 
Nataka chadema ife ili kije kingine ambacho hakina sura ya Uchaga.
Napenda sana upinzani ila chadema imekaa kichaga zaidi na kudharau makabila mengine. Eti 'kiasaka' nyoooo
Cuf ilikuwa ya waislam chadema ya wachaga udp ya wasukuma Act ya waha kikija kingine mtasema Cha wahehe.....ccm punguzeni vituko watanzania tumewachoka mmechakaa Sana....ondokeni mtuachie nchi yetu....
 
Kwani mtu kuongea na waandishi wa habari ndo kuhama? Mnajihofia nini CHADEMA?? Maana comments zote zinatolewa kana kwamba kuna ambaye kasema anahama.

Wenda wataongelea haya
1.kutekwa kwa Mo
2.Kushuka kwa shilling

3. Ubanwaji wa uhuru wa kujieleza
 
Watu wanasema chadema inakufa chadema inakufa halafu ukiwauliza kwanini inakufa utasikia eti wabunge/madiwani wanahama yaani majibu ya kiupuuzi kama ya prof aliyeshindwa kujibu swali la civics la form one.

Chadema haiwezi kufa kwa sababu ya hamahama ya mayalamayala wa kisiasa,ukiaangalia kwa jicho la tatu ccm ndio imekufa inaishi kwa kutegemea msaada wa policcm na NEC baasi.
Tufanye nini ili tuweze kukomesha hayo mambo ya poliCCM na NEC fake...au ndo hivi mnaishi kutoa comments mitandaoni na kupata faraja

Mimi nadhani ni muda wa kuamka sasa na kupapambani kwa uhalisia na sio kupiga kelele za hovyo
 
Hizi habari za Mnyika kuongea na Wanahabari zimeanza zamani sana.

Ndio maana Mr mdogomdogo ametoa deadline, maana naye amechoka hizi taarifa.
 
Hata wakoloni waliona ni faida kuwaendeleza kielimu kuliko makabila mengine ingekuwa ni hasara, ilifaa watumike kwenye Kazi za manamba mashambani na makuli bandarini.
Sawa ila wachaga ni watu wazuri hawajui kulipa kisasi,hawatumii mabavu ila wanatumia akili sana kwenye mambo yao
 
Hah hah hah hawataki kufikiri ndani ya haya ulioandka.
Kwani mtu kuongea na waandishi wa habari ndo kuhama? Mnajihofia nini CHADEMA?? Maana comments zote zinatolewa kana kwamba kuna ambaye kasema anahama.

Wenda wataongelea haya
1.kutekwa kwa Mo
2.Kushuka kwa shilling

3. Ubanwaji wa uhuru wa kujieleza
 
Mkuu ukisoma hapo nilipokoleza unaweza kuwa na chuki na kila mwanasisiemu.
Mi nawaona kama boss wao tu.
CCM ni tatizo kubwa zaidi kuliko boss,bosses come and go,matatizo yetu hayajaanza kwa huyu mpya mengine mnamuonea tu,huu nimuendelezo tu,chama kilichokuwa na dhamana ya utawala kwa miaka zaidi ya hamsini,nchi yenye rasilimali za kumwaga kama hii,Huu ni Mwaka 2018 lakini bado vitu kama barabara,huduma za afya,maji,elimu na umeme ni changamoto,na vinatumika kama mtaji wa siasa,basic needs ambazo walitakiwa wawe wameshazi sort out walau ndani ya miaka 30 ya utawala wao lakini wapiii.sasa ukiwa mfuasi na mwanachama wa mfumo huu kandamizi ilhali unajua kinachoendelea,tukuchulieje?.
 
Tufanye nini ili tuweze kukomesha hayo mambo ya poliCCM na NEC fake...au ndo hivi mnaishi kutoa comments mitandaoni na kupata faraja

Mimi nadhani ni muda wa kuamka sasa na kupapambani kwa uhalisia na sio kupiga kelele za hovyo
Mkuu unajua nguvu ya mitandao ya kijamii? Mbona una_Underestimate nguvu ya mitandao ya kijamii?

Katiba Mpya ndio suluhu ya kuindoa pilccm na NEC yake kujihusisha/Kukibeba SISIEMU.

Watawala wa mkono wa chuma huondolewa na nguvu ya umma,tunaanza hivi hivi kwa kucomment kisha vitu vinaenda viral,watawala wa mikono ya chuma wanapenda sana kuspot mtu mmoja mmoja na kumpoteza mazima,haishauriwi kutoka mmoja mmoja bila kuwa na nguvu ya umma.
 
Back
Top Bottom