Mbunge wa Kigoma Mjini, Zitto Kabwe ajitosa urais wa TFF

Jiunge na group la whatsap la betting lenye members zaidi ya watu 130 upate mikeka ya uhakika na ushauri mzuri kuhusu mechi na company za betting. Kujiunga ni bure na ushauri na mikeka yote ni bure. Linki iyo hapo chini.<br /><br /><br /><br />Betting only
 
Uyo ndo atakuja kusambaratisha kabisa mpira wa miguu...kwanza atadumisha umezani kwa club yake ya mezani sc
 
Bora zito kuliko huyu aliyeshindwa mpaka katushusha kutoka nafasi ya 91 mpaka 138sijui.Tena katusababishia uzururaji kimataifa.Tunahitaji mtu atakae turudisha kwenye nafasi ya kwanza Afrika mashariki na kuwa na timu za kupambana kimataifa sio hawa wakujisifia kupanda ndege.
 
H
Hana vigezo..

ni lazima uwe ushawahi kuwa kiongozi wa mpira, either club au chama chama mpira kinachotambuliwa na TFF si chini ya miaka mitano. Zito hana vigezo hivyo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…