Mbunge wa Makambako (Jah People) atangaza kuwachangia Fedha Vijana watakaotaka Kuoa au Kuolewa

Dpw lazima wapite bungeni bila kupingwa, pesa za upuuzi kama huu zitatoka wapi? 'Wanyonge' wanakombolewa!!
 
Si apeleke hizo hela kijijini kwao unyangogo makete wakamalizie zahanati yao
 
Kama wewe ni mpiga kura wa Makambako na ni kijana wa kiume unayetarajiwa kuoa basi Tangazo hili linakuhusu

Fika Ofisi ya Mbunge mh Deo Sanga aka Jah people kwa Ufadhili huu wa Ndoa

Nawatakia Dominica Njema πŸ˜€
 
Kama wewe ni mpiga kura wa Makambako na ni kijana wa kiume unayetarajiwa kuoa basi Tangazo hili linakuhusu

Fika Ofisi ya Mbunge mh Deo Sanga aka Jah people kwa Ufadhili huu wa Ndoa

Nawatakia Dominica Njema πŸ˜€
DS msanii sana. Awape na ofa ya siku 7 honeymoon pale DS hotel Makambako au Dodoma
 
Kama wewe ni mpiga kura wa Makambako na ni kijana wa kiume unayetarajiwa kuoa basi Tangazo hili linakuhusu

Fika Ofisi ya Mbunge mh Deo Sanga aka Jah people kwa Ufadhili huu wa Ndoa

Nawatakia Dominica Njema πŸ˜€
Pesa zake nibza mizimu huja kuchukua na zako .....hawataenda wanamjua musee ya kafara....pamoja yule aliua mwanafunzi kwa ajali Dodoma hizo familia ogopwa sana makanbako
 
Akili za kipumbavu 50elfu ni mahali ya kumuoa dada yake au mtoto wake?.
 
Kama wewe ni mpiga kura wa Makambako na ni kijana wa kiume unayetarajiwa kuoa basi Tangazo hili linakuhusu

Fika Ofisi ya Mbunge mh Deo Sanga aka Jah people kwa Ufadhili huu wa Ndoa

Nawatakia Dominica Njema πŸ˜€
Mwambieni kwamba kazi ya hela za mfuko wa Jimbo siyo hiyo
 
Nilipoona heading yako umeandika Mahali badala ya Mahari nikaishia hapo.
 
Nilipoona heading yako umeandika Mahali badala ya Mahari nikaishia hapo.
Acha uongo, hukuishia hapo! Uliendelea zaidi hata kuchukua jukumu la kuandika reply!

Btw, hayo ni makosa ya kawaida ambayo wengi pamoja na wewe tunafanya! Kwa mfano, nadhani hata wewe umekosea kuandika neno Mahari kwa kuanza na capital letter M wakati ulipaswa utumie small letter m! Tusameheane na tusaidiane kuandika vizuri!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…