Mbunge wa Makambako (Jah People) atangaza kuwachangia Fedha Vijana watakaotaka Kuoa au Kuolewa

Mahari 50,000 labda kwa waislamu ndo hawana mambo mengi kwenye suala la ndoa.

Upande wa pili mahari milioni 3 halafu ndoa zinakuwa ndoano.
Jitu jeusi tii kama tako la Iddi Amini linashadadia mila za kiarabu. Uskute hapo na uweusi wako tiii una sijdah na inaonekana.
 
Muendelezo ni uleule KATAA NDOA na huyo mbunge ikwezakana pia mkataeni Wanamakambako msidanganywe na wanasiasa
 
Angekua anataka kuwasaidia si angetafuta namna nzuri zaidi kama kuwa na vikundi vya vijana wawe na viwanda vidogo vidogo au kuwa na mashamba ya Kilimo kuliko kujifanya kugawa pesa kumbe pana vitu vipo nyuma ya Pazia pesa za Makambako ni hatari kuliko hatari yenyewe...
 
Ndoa Ingekuwa Ndiyo Huo Mpunga Wa Mawazo Basi Tanzania Wote Wangeoa/Kuolewa
 
Kwani waliopo hawatoshi? Au kuna upungufu wa wapigakura?
 
Pesa ya DPW inasafisha hasira za watanzania, mtawakubali tu.
 
Pesa zake nibza mizimu huja kuchukua na zako .....hawataenda wanamjua musee ya kafara....pamoja yule aliua mwanafunzi kwa ajali Dodoma hizo familia ogopwa sana makanbako
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ Usigope

Mjombba wake Deo ambaye ni Mganga wa Wakinga wote alishaokoka na kujisalimisha Kanisani

Festo anamuita Deo mjomba πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Mahari 50,000 labda kwa waislamu ndo hawana mambo mengi kwenye suala la ndoa.

Upande wa pili mahari milioni 3 halafu ndoa zinakuwa ndoano.
yah si unajua ndoa sio kilimo cha mchicha.

ukiamua kuoa basi umeamua jambo kubwa jema.
 
Hongera zake kwa ukarimu huo. Lakini hao vijana wakishaoana watakula nini? Si bora angewasaidia kujikwamua kiuchumi ili hatimaye waweze kuigharamia na kuihudumia ndoa yao wenyewe?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…