Idugunde
JF-Expert Member
- May 21, 2020
- 6,404
- 6,969
Mbunge wa jimbo la Masasi Mjini, Geofrey Mwambe na familia yake wamenusurika kifo baada ya gari binafsi waliyokuwa wakisafiria kushika moto na kuteketea kabisa leo Machi 27, 2022.
Mbunge huyo na familia yake walikuwa wakielekea Masasi kwenye msiba wa baba yake mzazi.
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Lindi, ACP Mtatiro Kitinkwi amesema, chanzo cha gari ya mbunge wa Masasi Mjini, Geofrey Mwambe kuteketea kwa moto Machi 27, 2022 ni hitilafu katika mfumo wa umeme wa Gari hilo.
Hata hivyo, ameeleza kuwa hakuna madhara kwa watu walikuwamo katika gari hilo.
Mbunge huyo na familia yake walikuwa wakielekea Masasi kwenye msiba wa baba yake mzazi.
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Lindi, ACP Mtatiro Kitinkwi amesema, chanzo cha gari ya mbunge wa Masasi Mjini, Geofrey Mwambe kuteketea kwa moto Machi 27, 2022 ni hitilafu katika mfumo wa umeme wa Gari hilo.
Hata hivyo, ameeleza kuwa hakuna madhara kwa watu walikuwamo katika gari hilo.