Mbunge wa Masasi Mjini Geofrey Mwambe anusurika kifo akiwa na familia yake. Gari alilokuwa akisafiria lateketea kwa moto

Mbunge wa Masasi Mjini Geofrey Mwambe anusurika kifo akiwa na familia yake. Gari alilokuwa akisafiria lateketea kwa moto

Hapo lazima kuna vitu 3 vime sababisha
Moto huo, yawezekana
Gari Ilikuwa inavuja Mafuta
Inawezekana gari Ilikuwa na tatizo la umeme
Inawezekana gari Ilikuwa inapata moto
Na mfumo wa kupooza haukuwa sawa

Ova
Pia inawezekana Chadema walikuwa wanalitaka jimbo.
 
Gari la million zaidi ya 60 anatembelea bima zetu zile......akalipaki uwani tu sasa maana britam wameshaweka hadharani mzigo hata magumashi haupigiView attachment 2166235
Gari ya gharama anakatia THIRD PARTY na huyo ndio mbunge, hao wengine walioko Masasi bima zao zichunguzwe.

Pamoja na uwaziri alokua nao bado hajui maana ya COMPREHENSIVE INSURANCE??
 
Gari ya gharama anakatia THIRD PARTY na huyo ndio mbunge, hao wengine walioko Masasi bima zao zichunguzwe.
Pamoja na uwaziri alokua nao bado hajui maana ya COMPREHENSIVE INSURANCE??
Comprehensive insurance ina hesabu zake pia msimoaumu mheshimiwa sana ,

Kuna wakati gari linakuwa lime depreciate kiasi kwamba hata insurance company hawawezi kulipa bima kubwa,

Lakini pia bima inakukinga na majanga , kwa watu wenye ukwasi , mtu anamiliki gari kadhaa za kutembwkea huwa hwana habari na comprehensive insurance
 
Shida kubwa ya land rover ni leakage, yani toka naendesha 109 , shida hii hawajaweza kudhibiti , kuna uwezekano kulikuwa na fuel leakage mixer overheating, sinema ndo moto huo
Them land rovers are extremely unreliable , ndo maana hata serikali ilishindwa kuendesha defenders za polisi wakaamua kutumia land cruisers
Defender TDI zilisitishwa baada ya production yake kufungwa huko Uingereza ndio wakaamia kwenye Doka aka Land cruiser,na ukiwauliza Polisi watakwambia Defender zilikuwa ni nzuri kuliko hizi Doka.
 
Defender TDI zilisitishwa baada ya production yake kufungwa huko Uingereza ndio wakaamia kwenye Doka aka Land cruiser,na ukiwauliza Polisi watakwambia Defender zilikuwa ni nzuri kuliko hizi Doka.
Defender hadi hii leo bado zinatengenezwa , imebadiliia model tu
 
Mbunge wa jimbo la Masasi Mjini, Geofrey Mwambe na familia yake wamenusurika kifo baada ya gari binafsi waliyokuwa wakisafiria kushika moto na kuteketea kabisa leo Machi 27, 2022. Mbunge huyo na familia yake walikuwa wakielekea Masasi kwenye msiba wa baba yake mzazi.

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Lindi, ACP Mtatiro Kitinkwi amesema, chanzo cha gari ya mbunge wa Masasi Mjini, Geofrey Mwambe kuteketea kwa moto Machi 27, 2022 ni hitilafu katika mfumo wa umeme wa Gari hilo. Hata hivyo, ameeleza kuwa hakuna madhara kwa watu walikuwamo katika gari hilo.

View attachment 2166616View attachment 2166617View attachment 2166618
...Ina wezekana waligombana na Baba yake Mzee alipokuwa Hai na akumuapina ' Hata nikifa Usije Kunizika!'

Ndio limetimia Neno...!
 
Hapo ndipo utakapowajua watu wa Bima ...wataanza kukukwepa na kujizungusha kulipa...tofauti na walivyokubembeleza kipindi ulipoenda dirishani kwao kwa nia ya kukata bima
 
Gari inahitaji service kila wakati
Kuna watu hawajui hata bonnet linafunguliwa vipi

Hata radiator hajui kama inahitaji maji
Sasa zitaacha kuwaka moto
Mke wa jamaa yangu kaburuza Gari yao kwenda Tanga... Katikati huko karibia na Segera mke akampigia Gari imezima imetoa Moshi kwenye engine... Tukampigia dogo mmoja yuko jirani na Segera kwenda kumsaidia kujua tatizo ni nini, dogo kufika akakuta radiator kifuniko hakipo na maji yote kwisha... Engine ameikaanga
 
Mke wa jamaa yangu kaburuza Gari yao kwenda Tanga... Katikati huko karibia na Segera mke akampigia Gari imezima imetoa Moshi kwenye engine... Tukampigia dogo mmoja yuko jirani na Segera kwenda kumsaidia kujua tatizo ni nini, dogo kufika akakuta radiator kifuniko hakipo na maji yote kwisha... Engine ameikaanga

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Duu
 
Wale wataalamu wa Bima, ukikata Comprehensive ya gari labda ITA cover ajari Tu.
Then Kwa situation Kama hii ya kuwaka Moto Insurance wanakulipa kweli? Au Comprehensive inakuaje
 
Back
Top Bottom