Hapo lazima kuna vitu 3 vime sababishaHizi Discovery sijui zina shida gani na kuungua
Si ndo alikuwa anaenda kwao
Anapoondoka kwao namaanisha kwahiyo walikua wanasubiri arudi wamuoneshe jeuri ya mwafrika.Si ndo alikuwa anaenda kwao
Labda hakutakiwa kufika kabla ya mazishi.Si ndo alikuwa anaenda kwao
Chuki yako kwa tajiri haitaongeza ugali mezani kwa wanao.....acha wivu fatuta pesa.Sio mbaya sana.
Kikubwa wamepona na mbunge husika ni CCM (chama cha majambazi), sioni ubaya wa hiyo mali kuteketea.
Premium,mbona ni ndogo hvyo?Gari la million zaidi ya 60 anatembelea bima zetu zile......akalipaki uwani tu sasa maana britam wameshaweka hadharani mzigo hata magumashi haupigie
Hizi Discovery sijui zina shida gani na kuungua