Khantwe
JF-Expert Member
- Dec 20, 2012
- 59,415
- 119,473
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanayolingana? We ni wa wapiSugu mwehu kwel safari hii kaamua kutafuta wanayolingana nayo kimo,hajui ataharibu kzazi
Mimi pia nimeshangaa nilijua nitasikia ndoaHivi kumbe hata pete walikuwa hawajavishana[emoji134][emoji134][emoji134]
Mi nilijua ni mume na mke.
Naona umeamua kumkazia mkuu hahaha leo amesahihishwa yeye anajikuta anakijua sana kiswahili hahahaha...Kwako wewe ni kama kijiwe tu, ila kwangu mimi naichukulia JF kama shule.
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38]
Hahahaha! Kumbe wehu wake wote na kujitoa ufahamu Kumbe bado anamtaka Sugu?
Nani aoe mwehu yule? Tena mbaya zaidi alishindwa kunyamaza kimya
Sent using Jamii Forums mobile app
Jamani tuacheni masihara.
Yaani watu waishi pamoja, wafanye mapenzi, wapeane mimba nk halafu leo watangaze ndio wanachumbiana, halafu tunaletewa picha humu ili kujadili. Huo ni mzaha na upuuzi mtupu.
Mbona huwa unasahihisha wengine ww ChakubangaKila style ya kuandika ina pahala pake. JF ni kama kijiwe tu cha gahwa, hatuandikiani barua hapa.
Huu ujinga wa kumpigia magoti mwanamke wakati wa kumvalisha pete ya uchumba mmeutowa wapi?
Mtumwa haachi asili ya bwanake hata siku moja.
Mpe vidonge vyake huyo mdini sanaa hafai hafai kabsa anatuharibia watoto wetuWe ni mdini sana,.
Cha ajabu dini uliyonayo umerithi tu kwa wazazi, na sio baada ya kuujua ukweli.
Jamani tuacheni masihara.
Yaani watu waishi pamoja, wafanye mapenzi, wapeane mimba nk halafu leo watangaze ndio wanachumbiana, halafu tunaletewa picha humu ili kujadili. Huo ni mzaha na upuuzi mtupu.