sheremaya
JF-Expert Member
- Mar 22, 2015
- 3,334
- 7,651
sijui shule gani huyu mama alisoma
na sijui nani alomfundisha kiswahili
Sent using Jamii Forums mobile app
Ananuna huko aliko
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
sijui shule gani huyu mama alisoma
na sijui nani alomfundisha kiswahili
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji3][emoji3]Mmeutowa=mmeutoa
Bwanake=bwana wake
Safi sana. Umenena. Huwa nasema sana hili la kuacha kuandika kukaribia na matamshi. Bravo mkuu!Kama umefundishwa na mwalimu mjinga unategemea nini?
"Kama kila mtu akiamua kuandika kukaribia na matamshi mbona tutaharibu lugha yetu kabisa kwanza hatutaelewana.."
affect = effectOoh, ni vyema sana kuona nami ni mbunifu na wengine wanaiga. Hiyo inaitwa FF affect.
FaizaFoxy au Faiza Ally??Kamanda kapiga goti nae [emoji23][emoji23][emoji23]
Ngoja tusikie faiza atasemaje
Sent using Jamii Forums mobile app
No pm please. Kwa kuniuliza bofya link: Faidika na darsa la FaizaFoxy; Uliza chochote utajibiwa - JamiiForumsBibi naona unabishana na wajukuu,by the way Kuna maswali kuhusu Quran ntakuuliza PM
Sent using Jamii Forums mobile app
No pm please. Kwa kuniuliza bofya link:Bibi naona unabishana na wajukuu,by the way Kuna maswali kuhusu Quran ntakuuliza PM
Sent using Jamii Forums mobile app
Una haki ya mawazo yako kikatiba au una wasiwasi nayo?
Faiza acha ubishi wa kitoto pale umechemkaKila style ya kuandika ina pahala pake. JF ni kama kijiwe tu cha gahwa, hatuandikiani barua hapa.
Jua kali wamevaa makaniki meusi tiii.Wakiamini dini zilizokuja na mashua.brain washed kabisaaa
Sent using Jamii Forums mobile app
Ha ha ha.....wajukuu zake wamemchanganya leo.....anachapia tu.affect = effect
Ni kweli mkuuHa ha ha.....wajukuu zake wamemchanganya leo.....anachapia tu.
But generally FF ni mwalimu nzuri humu jamvini (ukiacha vile vibwagizo vyake vya kebehi pale anapomrekebisha mtu).
Anamvalisha pete huku ana mimba tayari halafu wataenda kufunga ndoa kanisani wakati tayari wamezini.Mheshimiwa mbunge hayo ndio maadili ya kiongozi?
Watu waliohamia mahali,,,sio asili yao ila wakafanya ndo makazi yao,,wakazaa na vizazi vyao vikakulia hapo,,wakazikwa hapo
Ni sawa uulize hivi Massawe ni wahehe??
Nashukuru umenisaidia kumuelewesha huyu mtoto japo umetumia lugha kali, ni wahamiaji sio wavamizi lol.Mbilinyi wengi wamelowea mbeya. Ila asili yao si mbeya kwamaana siyo wanyakyusa,wanyiha,wasafwa,wandali wala wanyamwanga,,wao ni wakinga kwa asili. Kama umewaona mbeya basi wavamizi ama walowezi