imhotep
JF-Expert Member
- Oct 13, 2012
- 55,997
- 88,219
Hakuna chama ambacho kimeigharimu CCM mabilioni ili kukimaliza kwa kila njia zikiwemo upigaji wa risasi Bungeni hadharani Hakuna chama kinachowanyima CCM usingizi kama Chama imara kabisa kuwahi kutokea katika ulingo wa siasa hapa nchini CHADEMA.