Mbunge wa Mbozi, Pascal Haonga ahutubia maelfu, pamoja na mvua kubwa lakini wananchi wakomaa, Mdude Nyagali apata nafasi ya kusalimia wananchi

Mbunge wa Mbozi, Pascal Haonga ahutubia maelfu, pamoja na mvua kubwa lakini wananchi wakomaa, Mdude Nyagali apata nafasi ya kusalimia wananchi

Hukuumia ccm walipofany rafu kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa ?

Kuna tofauti kubwa sana ya Viwango vya Uelewa (IQ) kati ya watu wa mikoa ya Nyanda za Juu Kusini na nyie Kanda ya ziwa (Wasukuma) Ukitoa mkoa wa Mara, wale jamaa wa Kusini wanajitambua sana, nyinyi akina Paskali ni bogasi na mapopoma,
Swali- Ni kwa faida gani unatarajia kuipata endapo tutarudi kuwa na chama kimoja ??!!!, Duniani kote Nchi zilizoendelea zina mifumo ya siasa za Chama zaidi ya kimoja, na mambo yanakwenda
Pascal Mayalla amekata tamaa ya maisha , hilo halina ubishi , tunachokifanya ni kumchunguza kisa cha kukata tamaa kiasi hiki , hata kama anaumwa ugonjwa usiopona mbona wenzie wanakula dawa kila siku na bado hawajakata tamaa ?

Ngoja tuingie kazini tutajua tu
 
Duh...!, kumbe bado ipo angalau hadi October 2020, baada ya hapo, kuendelea kuwepo ni majaliwa!.



P
Endelea kupiga ramli zako.
 
Hahahaaaa.... Maelfu wapi we we ... Anaenda kufanya mkutano sokoni?.. Alafu mnadai ni maelfu..... Endeleeni kujifariji
Mkuu naomba nikukumbushe mkuu wenu wa wilaya mmoja hapo jijini daresalaam alipokwenda kwenye moja ya masoko hapo jijini kutaka kuongea na wananchi/wafanyabiashara, hakuna mtu hata mmoja aliyekwenda kumsikiliza mpaka akaanza kuwatishia kwamba angewachukulia hatua za kisheria, alianza pia kuuliza "wako wapi viongozi wa soko, mimi mkuu wa wilaya niko hapa, inahitaji mtu anaekubalika kusikilizwa na watu, bila kujali uko sehemu gani
 
Ucha uchawi na utabiri wa kilofa....
Duh...!, kumbe bado ipo angalau hadi October 2020, baada ya hapo, kuendelea kuwepo ni majaliwa!.



P

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Duh...!, kumbe bado ipo angalau hadi October 2020, baada ya hapo, kuendelea kuwepo ni majaliwa!.



P
Huu wimbo siyo mpya

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Duh...!, kumbe bado ipo angalau hadi October 2020, baada ya hapo, kuendelea kuwepo ni majaliwa!.



P

Bro, this is undeserving of ya and always take the high road. Ndio maana huwa nakwambia mara nyingi, objective truth itakufanya uwe bora. Ndio maana ukisemaga haya mambo ya vyama huwa nakwambia kabisa hauko sahihi.

I cannot believe hata unafiki ni sifa yako pia. Kifo cha CHADEMA mmekihamisha sana, mara 2015, 16, 17, 18, 19 na sasa 2020!! Pretence kuwa hujui kipo ndio unafiki ninaozungumzia (sio kitu kingine). Refer to your “kumbe” ktk bandiko lako. True that ya didnt know CHADEMA ipo??
 
Haonga atafute kazi ya kufanya ubunge ndio basi tena
 
Back
Top Bottom