Magufuli hakuwa fisadi?Mjenge sanamu ya kikwete ili kuenzi ufisadi au kushamiri kwa biashara ya madawa ya kulevya? Anayesema ijengwe ni rais mwenyewe au mtu baki kutokana na kile anachofikiria yeye? Usiendekeze udini mtanzania wewe maskini na mwenye umri mdogo.sisi tuliokuwepo toka miaka ya uhuru tunafaham mengi ukiacha wewe dogo wa miaka hii ya tisini mwishoni.
Sasa hapo ukristo umeingiaje mkuuMarais wakristu ni wabinafsi sana. Mbona hamna mtu anasema tujenge sanamu ya Kikwete. Hivi hawa watu wamelogwa au ni nini? Huyo magufuli mpora uchaguzi ndiyo wanamwona wa maana
Acheni ujinga nyie vilaza wa magufuli kama ni kujenga miundo mbinu kikwete kajenga miundo mbinu mingi sana kuliko hata huyo magufuli aliye kuwa anajenga kwa maneno mengi na misufa ya kutaka kila anacho fanya kipewe public atention.Kazi zake na matokeo ya hizo kazi! Ndo inamfanya aseme hivyo. Sasa kikwete ajengewe ndege inayoenda angani na kusema rais wa angani au? JPM amepiga kazi ndugu! Kama alikutumbua! Pole kwa hilo. Na hauna haja ya kulaumu! ni vyema ukaangalia ni wapi ulikosea.
Hilo naunga kono hoja17 March public holiday
Wewe inchi yako ilikuwa na mafly over hapo kablaLijengwe kwa huruma kwamba katutoka bado akiwa madarakani, au waliomtangulia walikuwa bure kabisa hakuna cha maana walichofanya?
Mkapa hukumbuki kodi ya kichwa wewe mwaka 2003 nyuma mpaka baiskeli aliziwekea kodi na Ile kubinafsisha kila kitu limepelekea taifa kuwa tegemezi.Amini nawaambia, Hayati Benjamin Wiliam Mkapa alifanya mambo makubwa kwenye hii nchi kuliko huyo mnaemnadi sana!...
Hahah speaker wako yuleWakina job mnakuaga na matatizo sana
Hapa ndio mataga mnapodharuliwa alieondoa Kodi ya kichwa ni mkapa na akaleta VAT acheni kuandika msiyoyajua.Mkapa hukumbuki kodi ya kichwa wewe mwaka 2003 nyuma mpaka baiskeli aliziwekea kodi na
Ile kubinafsisha kila kitu limepelekea taifa kuwa tegemezi
JPM kairudisha nchi kwenye mstari na angeendelea miaka kumi umadhani tungekuwa wapi
Kila mtu aliyemtukuza na kumsujudia, akalijenge hilo sanamu lake nyumbani kwake! Mtaendelea kumwamudu, kumtukuza na kumuimbia mapambio huko!Habari tukiwa katika huzuni nzito iliyokumba Taifa letu Tanzania,
Binafsi najaribu kufikiria kipi zaidi katika kumuenzi hayati Rais wetu...
Abomoe nani kwamba hatambui mchango wa wa Rais wetu hivi kuna watu bado mmefungwa mpaka akili hata kuona hamuoni?Hilo sanamu labda mlilinde vinginevyo litabomolewa.