Rogart Ngaillo
JF-Expert Member
- Apr 27, 2013
- 908
- 1,911
Sherehe kubwa nitaifanya siku "Sub woofer" ikiliwa nyaya na panya na kuzikwa "bila kupingwa"
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Itakuwa mwanafunzi Al Marhum Bachu wewe!Safari hii nchi yetu itarudia sana uchaguzi wa wabunge na madiwani, Corona kolabo na Makombora Ya Kienyeji.
Walio dhulumiwa haki zao za ushindi hawajatulia mpaka dakika hii, watu wanakesha kwa kina Sir Ngoma na Nyumba Za Ibada, mmoja mmoja watamchomoa.
Serikali ijipange kwa budget ya kurudia uchaguzi jimbo baada ya jimbo.
NB: Msemo mtakatifu wa kidini kwamba "Dhuluma haidumu, na ikidumu inaangamiza"
Yeah kigoma majimbo rahisi kuyachukua upinzani yalikuwa ni matatu mojawapo ni Muhambwe.... hakuibiwa yeye; waliiba kwa niaba yake bila yeye kujua.
Ina maana hata bungeni haikutangazwa kwamba kuna mbunge kapata ajali?Kweli mbona taarifa za kupata ajali hazikuwekwa?
Mkuu huyu jamaa amefariki kwa kuumwa ama!?Hawa wajinga wanadhani wanatudanganya sisi kuna faida yeyote wanapata kumbe wanajidanganya wao wenyewe!
Tutaona vituko mwaka huu,ndio kwanzaaa February!
Nashangaa hizo taarifa za ajali hata wewe hukuwa nazoIna maana hata bungeni haikutangazwa kwamba kuna mbunge kapata ajali?
Au kuna mbunge kalazwa?
Acha urongo King Kong!
Nashangaa hizo taarifa za ajali hata wewe hukuwa nazo BwasheeIna maana hata bungeni haikutangazwa kwamba kuna mbunge kapata ajali?
Au kuna mbunge kalazwa?
Acha urongo King Kong!
Pigia mstariMkuu huyu jamaa amefariki kwa kuumwa ama!?
Jimbo la Zito nani mbunge vile!!?Nikajua ni jimbo la Zitto ,
Poleni sana.
Jamaa watakuwa wapuuzi mno!! kama wanadanganya umma kwa facts ambazo zipo very open!covid-19
Ogopa sana mtu umemuibia kura lakini kutokana na vitisho na ukosefu wa haki haoni sababu ya kufungua kesi ya kupinga matokeo mahakamani.Safari hii nchi yetu itarudia sana uchaguzi wa wabunge na madiwani, Corona kolabo na Makombora Ya Kienyeji.
Walio dhulumiwa haki zao za ushindi hawajatulia mpaka dakika hii, watu wanakesha kwa kina Sir Ngoma na Nyumba Za Ibada, mmoja mmoja watamchomoa.
Serikali ijipange kwa budget ya kurudia uchaguzi jimbo baada ya jimbo.
NB: Msemo mtakatifu wa kidini kwamba "Dhuluma haidumu, na ikidumu inaangamiza"
Huko kwenye kura usiongelee.Alishinda kihalali kwenye kura? Kama alishinda kihalali RIP, lakini kama ni hawa walioshinda kwa maonyesho ya ujinga wa mtu mweusi kwenye box la kura, basi apambane na hali yake.
Shetani Mkubwa wewe, kwani wewe utaishi milele. Na usipojiangalia Kesho ya tarehe 13.02.2020 itakuwa haifikiSafari hii nchi yetu itarudia sana uchaguzi wa wabunge na madiwani, Corona kolabo na Makombora Ya Kienyeji.
Walio dhulumiwa haki zao za ushindi hawajatulia mpaka dakika hii, watu wanakesha kwa kina Sir Ngoma na Nyumba Za Ibada, mmoja mmoja watamchomoa.
Serikali ijipange kwa budget ya kurudia uchaguzi jimbo baada ya jimbo.
NB: Msemo mtakatifu wa kidini kwamba "Dhuluma haidumu, na ikidumu inaangamiza"
Wewe ulisikia taarifa zozote za ajali hiyo juzi?
Sijasikia dear[emoji1745]Wewe ulisikia taarifa zozote za ajali hiyo juzi?
Ngoja tusubiri taarifa rasmi ya Spika Ndugai!Nashangaa hizo taarifa za ajali hata wewe hukuwa nazo Bwashee