Stephen Ngalya Chelu
JF-Expert Member
- Oct 31, 2017
- 8,252
- 18,335
Ndiyo maana tunatilia shaka hii taarifa kuwa kafa kwa ajali. Haiwezekeni mbunge alipata ajali juzi halafu taarifa isitoke siku hiyo ila ije itoke baada ya yeye kufariki kuwa eti alipata ajali juzi.
Maswali mengi mengi hivi..