Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ilikuwa ya ungo?
Kuna ajali mbali mbali, hata ajali za mfumo wa upumuaji, mtu anaweza ukapaliwa na chakula ukashindwa kupumua. Cha msingi tufuate maelekezo ya wataalamu wa afya.Kuna chombo chochote cha habari kilicho report kuhusu hiyo AJALI!?
Hakuna aliyeshinda kihalali wote walichaguliwa na tumeHivi alishinda kihalali au alipata ushindi wa mezani?
Mwenyezi Mungu amhurumie na kumpa pumziko la amani
Ina maana hata bungeni haikutangazwa kwamba kuna mbunge kapata ajali?
Au kuna mbunge kalazwa?
Acha urongo King Kong!
Bwashee saa mbili zimepita bila kuweka link iliyoelezea hiyo ajali ,haujaweka hata audio clip kutoka kwa Ndugai,Tulia au Mwenyekiti....Inawezekanaje mtu mzito kama Nditiye apate ajali halafu hakuna mtu yeyote aliyereport??Ina maana hata bungeni haikutangazwa kwamba kuna mbunge kapata ajali?
Au kuna mbunge kalazwa?
Acha urongo King Kong!
Basi aligongwa na fisi.Ajali siyo lazima iwe ya chombo cha moto kama gari, pikipiki, ndege nk!
Mbona hakuna taarifa ya ajali toka hiyo juzi hadi anakufa ndio taarifa zinatoka. Wangeendelea tu kuficha hata mazishi yake. Mtakumbuka sana
Sisi ndio vilaza zaidi, tunashiriki uchaguzi ambao tunajua tunakwenda kupoteza? Tunachangishwa pesa wakati wanajua tunakwenda kipoteza, tunatupa pesa na wakati, ni bora hizo pesa zaidi ya bilioni zinge jenga ofisi mpya na kuhama makaburini Ufipa. Yaani wamekosa kitu cha kufanya vilaza.Kwa comment hii wewe ni kilaza square uchaguzi upi bila tume huru
OK, nimeelewa mkuu. SO huyu mhe bila shaka nae alipatwa na ajali za namna hi ulioieleza hapa!?Kuna ajali mbali mbali, hata ajali za mfumo wa upumuaji, mtu anaweza ukapaliwa na chakula ukashindwa kupumua. Cha msingi tufuate maelekezo ya wataalamu wa afya.
Una akili sawasawa wewe?Hii ni nafasi kwa upinzani kudhibitisha kwa wananchi na jumuia za kimataifa kama waliibiwa kura au laa, kupitia hizi chaguzi za marudio majimboni. .
Mbona taarifa za ajali hatukusikia?Rip!
Hata mimi sijasikia hiyo ajali.Ajali?
Really?
Picha iko wapi?
Mnaona WaTZ wajinga eee?
Keep on lying to yourselves!
Eleza ukweli mkuu.Ajali?
Really?
Picha iko wapi?
Mnaona WaTZ wajinga eee?
Keep on lying to yourselves!
Baadhi ya hawa watu tusiwalaumu bure. Wengi wao ni 'mateka' tu kama tulivyo waTanzania wengine wote.Alishinda kihalali kwenye kura? Kama alishinda kihalali RIP, lakini kama ni hawa walioshinda kwa maonyesho ya ujinga wa mtu mweusi kwenye box la kura, basi apambane na hali yake.
Ni kweli juzi tarehe 10 majira ya asubuhi eneo la Nzuguni (Nanenane) mkabala na stendi kuu ya Mabasi kulitokea ajali ya kugongana uso kwa uso kati ya gari moja hivi ya kisasa yenye rangi nyeusi na coaster yenye rangi nyeupe.Ajali ya gari!! Huo ni uwongo. Ilikuwa ajali ya namna gani ambaye imetokea Dodoma, halafu hata isisikike kwa ntu hata mmoja au kwa chombo chochote cha habari?
Jamani kifo siyo tendo la aibu. Tuweni wakweli.
Hizi fikra kuwa mtu kufariki kwa corona ni aibu au laana, ni kufifisha jitihada za kupambana na adui ambaye anatuandama.
Sina imani kuwa amefariki kwaajili, na sisemi amefariki kwa corona maana sina uthibutisho.
Kama kuna uthibitisho wa kutokea ajali juzi tuletewa (najua hautakuwepo maana hakukuwa na ajali).
Pole sana wafiwa. Mungu mwenye uweza awapeni nguvu ya kuyapokea mapenzi yake.