Mbunge wa Sengerema, Hamis Tabasamu amwaga chozi hadharani akiwa kwenye ziara ya kukagua changamoto za shule hasa vyoo na madarasa

Mbunge wa Sengerema, Hamis Tabasamu amwaga chozi hadharani akiwa kwenye ziara ya kukagua changamoto za shule hasa vyoo na madarasa

Ndugu wana jamii tafadhali pokea taarifa hiyo yenye uchungu mkubwa toka kwa Mhe. Tabasamu ametoa machozi hadharani, mwenye video tafadhari atuwekee hapa.
Ndiye huyu hapa Mkuu! Mpaka kufika 2025 watalia sana! CHADEMA watuwekee tu wagombea wenye hekima na busara tumalize mchezo!
 

Attachments

  • VID-20230918-WA0004.mp4
    8.7 MB
Ndugu wana jamii tafadhali pokea taarifa hiyo yenye uchungu mkubwa toka kwa Mhe. Tabasamu ametoa machozi hadharani, mwenye video tafadhari atuwekee hapa.

Video ipo kwenye comments (Manjagata ameiweka)

Hii ni taarifa halisi isipokuwa kwa kuwa sina video ndio mana sijaweka katika uhakika wake.

Tuendelee kuliombea taifa linapitia wakati mgumu sana, hio Shule yenye changamoto ya vyoo Iko kilometa 3 tu kutoka ofisi za halmashauri ya Sengerema. Mkurugenzi yupo, CCM ipo, Mwenyekiti wa halmashauri yupo, Madiwani wapo, Wakaguzi wa Shule wapo, waratibu wapo, watendaji wapo na kamati za shule na vijiji zipo.

Nawatakia bidii katika kuliombea taifa linapitia wakati mgumu sana.

Wadiz nikiwa viunga vya Dodoma
Ni kazi yake analia nini?
 
Huyo aache kulia. Kwani hajui matundu mengi ya vyoo ni kwa msaada wa Watu wa Marekani? Aende tu ubalozini na kesho tu watawajengea kwa vile ni vidola vichaches sana. Ukiambiwa malipo yake huyu utashangaa kwa nini atoe machozi na huku kajaa mapesa kedekede.
 
Back
Top Bottom