bongo dili
JF-Expert Member
- Feb 13, 2015
- 12,350
- 25,180
Uchaguzi umekaribia
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndiye huyu hapa Mkuu! Mpaka kufika 2025 watalia sana! CHADEMA watuwekee tu wagombea wenye hekima na busara tumalize mchezo!Ndugu wana jamii tafadhali pokea taarifa hiyo yenye uchungu mkubwa toka kwa Mhe. Tabasamu ametoa machozi hadharani, mwenye video tafadhari atuwekee hapa.
Haya sasa Mwamba wanaotaka video hio hapoNdiye huyu hapa Mkuu! Mpaka kufika 2025 watalia sana! CHADEMA watuwekee tu wagombea wenye hekima na busara tumalize mchezo!
Acha hizo wewe kupamba mtu kwa mambo yasiyokuwepoTabasamu ni mbunge halisi wa wananchi, na muislamu wa kweli kabisa mwenye dini yake na anaishi dini Kila siku
Video ipo the next comment baada Yako member Manjagata ameiwekaKavideo kako wapi? Wengine tuna machozi ya karibu tumsaidie kulia
Kapo tayari kuna member katupia videoKavideo kidogo tu
Ni kazi yake analia nini?Ndugu wana jamii tafadhali pokea taarifa hiyo yenye uchungu mkubwa toka kwa Mhe. Tabasamu ametoa machozi hadharani, mwenye video tafadhari atuwekee hapa.
Video ipo kwenye comments (Manjagata ameiweka)
Hii ni taarifa halisi isipokuwa kwa kuwa sina video ndio mana sijaweka katika uhakika wake.
Tuendelee kuliombea taifa linapitia wakati mgumu sana, hio Shule yenye changamoto ya vyoo Iko kilometa 3 tu kutoka ofisi za halmashauri ya Sengerema. Mkurugenzi yupo, CCM ipo, Mwenyekiti wa halmashauri yupo, Madiwani wapo, Wakaguzi wa Shule wapo, waratibu wapo, watendaji wapo na kamati za shule na vijiji zipo.
Nawatakia bidii katika kuliombea taifa linapitia wakati mgumu sana.
Wadiz nikiwa viunga vya Dodoma
Apo lazima nilie,Si muda mrefu wataanza kupiga magoti na kijigaragaza kwenye mikutano.Kiinua mgongo cha milioni zaidi ya mia mbili(200,000,000/=)humfanya mtu kuwa kibweka.Jumlisha na mshahara wa zaidi ya 13,000,000/= kila mwezi.
Asante, ngoja niisakeVideo ipo the next comment baada Yako member Manjagata ameiweka