Pre GE2025 Mbunge wa Simanjiro, Christopher Ole Sendeka ashambuliwa kwa risasi na Watu wasiojulikana

Pre GE2025 Mbunge wa Simanjiro, Christopher Ole Sendeka ashambuliwa kwa risasi na Watu wasiojulikana

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
1. Za mabikira hizo Imani zenu.

2. Ya kuwa ya duniani yatakuwa yamebaki duniani pia Imani zenu.

3. Ila wengine Imani zetu ni kuwa kila baya kwa Mola litalipwa.

4. Hapo #3 ndiyo maana miadi yetu nanyi msiojulikana, tusipomalizana hapa hadi kwa Mola tutakomaa nanyi.
Akili ndogo, let me tell you something
1. I don’t support ole sendika shooting
2. I have no interest whatsoever
3. Kuna serious gap ya knowledge ya chanzo cha tukio…. Siasa za kule ngumu sana na ole ana drama sana

KWa tuliosoma naye sekonderi tunafahamu
 
Akili ndogo, let me tell you something
1. I don’t support ole sendika shooting
2. I have no interest whatsoever
3. Kuna serious gap ya knowledge ya chanzo cha tukio…. Siasa za kule ngumu sana na ole ana drama sana

KWa tuliosoma naye sekonderi tunafahamu

Akili ndogo, you have nothing to tell me. Tell it to yourself!
 
Mkuu kaharibuje soko la watalii?


Madini mengi yalikuwa yana nunuliwa na wageni mara nyingi kama zawadi sasa serikali kupiga marufuku kuuza Arusha maana yake ni kwamba wageni hawawezi kununua tena lakini wageni hawapiti simanjiro wakienda mbugani! Huyu mzee ndiye alipiga hizi kampeni na CCM wakafanya kisiasa. Ndiyo sababu kubwa watamuondoa.
 
We waweza tuma watu waje kukushambulia kwa risasi? utakuwa ni mmojawapo kati ya waliopanga hilo tukio, ndio maana umekimbilia hapa kumtuhumu eti (katengeneza tukio kijinga) itabidi Polisi waanze na wewe.
Huyo hajashambuliwa wala hajashambuliwa. Hakuma sehemu nimesema kashambuliwa au katuma watu
 
Kwa tunaomjua Sendeka nawaambia hivi - Hii ni movie kajitengenezea ili kup[ata huruma baada ya kuona hana tena nafasi ya kuwa mbunge. Vijana wanamkimbiza balaa. Sio mara ya kwanza kuanzisha matukio. Alifanya hivyo Lobosireti 2020 akawaambia vijana wapigane ili wasiumizane sana ili ionekane polisi waliofika kutuliza fujo waliwapiga wananchi. Msiomjua ndio mtaharisha kumuonea huruma. Sendeka ni janjawidi. Haya tusubiri taarifa baada ya uchunguzi.
 
Kwa tunaomjua Sendeka nawaambia hivi - Hii ni movie kajitengenezea ili kup[ata huruma baada ya kuona hana tena nafasi ya kuwa mbunge. Vijana wanamkimbiza balaa. Sio mara ya kwanza kuanzisha matukio. Alifanya hivyo Lobosireti 2020 akawaambia vijana wapigane ili wasiumizane sana ili ionekane polisi waliofika kutuliza fujo waliwapiga wananchi. Msiomjua ndio mtaharisha kumuonea huruma. Sendeka ni janjawidi. Haya tusubiri taarifa baada ya uchunguzi.
Kwanza nani ampige na kwa lipi hasa ?
 
Pengine magaidi ya Hamas wapo kazini bado
 
Amewakosea nini wale jamaa!!?

Huwa hawashambulii TU Bure wale jamaa!!Kuna kitu kafanya!!

de 'levis uko wapi !!?utupe clue!!?

Watu wanafikiri hata Lisu alishambuliwa kwa kuonewa!hapana !Kuna miiko ya kimfumo aliikosea ya wale jamaa ukiivuka TU wanakuijia hata kama wengi wataona unaonewa lakini lazima Kuna mambo utakua ulishaonywa lakini ukashupaza shingo!!

Itakua haikua safe process,tagert atakua alishtukia ndio maaana hawajafanikiwa kwa asilimia mia!!

Matukio ya wakubwa kupigwa risasi nchi hii hayajaanza Leo;-

RIP IMRAN KOMBE

LIVE LONG TUNDU LISU

LIVE LONG OLESENDEKA!!
Hahaha una mkumbuka yule mbunge wa mwanza Mwaka 2000 aliye mwagiwa asali???.
 
Back
Top Bottom