Akili ndogo, let me tell you something1. Za mabikira hizo Imani zenu.
2. Ya kuwa ya duniani yatakuwa yamebaki duniani pia Imani zenu.
3. Ila wengine Imani zetu ni kuwa kila baya kwa Mola litalipwa.
4. Hapo #3 ndiyo maana miadi yetu nanyi msiojulikana, tusipomalizana hapa hadi kwa Mola tutakomaa nanyi.
AminNi vizuri wakatambua ipo siku tutakumbushana tu hata kama ni kwa Mola.
Akili ndogo, let me tell you something
1. I don’t support ole sendika shooting
2. I have no interest whatsoever
3. Kuna serious gap ya knowledge ya chanzo cha tukio…. Siasa za kule ngumu sana na ole ana drama sana
KWa tuliosoma naye sekonderi tunafahamu
Chizi huyo katengeneza tukio kijinga sana.
Mkuu kaharibuje soko la watalii?
We waweza tuma watu waje kukushambulia kwa risasi? utakuwa ni mmojawapo kati ya waliopanga hilo tukio, ndio maana umekimbilia hapa kumtuhumu eti (katengeneza tukio kijinga) itabidi Polisi waanze na wewe.Chizi huyo katengeneza tukio kijinga sana.
Huyo hajashambuliwa wala hajashambuliwa. Hakuma sehemu nimesema kashambuliwa au katuma watuWe waweza tuma watu waje kukushambulia kwa risasi? utakuwa ni mmojawapo kati ya waliopanga hilo tukio, ndio maana umekimbilia hapa kumtuhumu eti (katengeneza tukio kijinga) itabidi Polisi waanze na wewe.
Ukikua utaelewaAkuli ndogo, you have nothing to tell me. Tell it to yourself!
HakikaMbwa kala mbwa
Kwanza nani ampige na kwa lipi hasa ?Kwa tunaomjua Sendeka nawaambia hivi - Hii ni movie kajitengenezea ili kup[ata huruma baada ya kuona hana tena nafasi ya kuwa mbunge. Vijana wanamkimbiza balaa. Sio mara ya kwanza kuanzisha matukio. Alifanya hivyo Lobosireti 2020 akawaambia vijana wapigane ili wasiumizane sana ili ionekane polisi waliofika kutuliza fujo waliwapiga wananchi. Msiomjua ndio mtaharisha kumuonea huruma. Sendeka ni janjawidi. Haya tusubiri taarifa baada ya uchunguzi.
Hahaha una mkumbuka yule mbunge wa mwanza Mwaka 2000 aliye mwagiwa asali???.Amewakosea nini wale jamaa!!?
Huwa hawashambulii TU Bure wale jamaa!!Kuna kitu kafanya!!
de 'levis uko wapi !!?utupe clue!!?
Watu wanafikiri hata Lisu alishambuliwa kwa kuonewa!hapana !Kuna miiko ya kimfumo aliikosea ya wale jamaa ukiivuka TU wanakuijia hata kama wengi wataona unaonewa lakini lazima Kuna mambo utakua ulishaonywa lakini ukashupaza shingo!!
Itakua haikua safe process,tagert atakua alishtukia ndio maaana hawajafanikiwa kwa asilimia mia!!
Matukio ya wakubwa kupigwa risasi nchi hii hayajaanza Leo;-
RIP IMRAN KOMBE
LIVE LONG TUNDU LISU
LIVE LONG OLESENDEKA!!