Tetesi: Mbunge wa Simanjiro, James Ole Millya kuhamia Chama cha Mapinduzi muda wowote kuanzia sasa

Tetesi: Mbunge wa Simanjiro, James Ole Millya kuhamia Chama cha Mapinduzi muda wowote kuanzia sasa

Wangemwapisha fasta kama Mbunge mpya wa CCM jimbo la Simanjiro then hizo gharama za kurudia uchaguzi zikafanye maendeleo hapo Simanjiro. Wilaya ambayo haina hospitali ya wilaya, Wilaya ambayo 90% ya eneo lake halina lami, wilaya ambayo kuna changamoto za maji safi na salama, wilaya ambayo bado sehemu kubwa ya kata zake hazina umeme, wilaya ambayo ofisi za halmashauri hazina hadhi
Fact
 
Acha kukengeuka kamanda!
Jifunzeni kuweka akiba ya maneno. Leo hii Jakobo wa Ubungo anaweka wapi kitambi chake!?
Mkuu hebu tukubaliane katika kutokukubaliana ili nikuache uendelee na safari yako maana naona nakuchelewesha bure!
 
Swali la wapi ruzuku ya chama inaenda limekuwa gumu sana kwa mbowe .

Yupo tayari atumie mwezi mzima kuwaelezea bavicha namna ccm inavyonunua watu badala ya kutumia dakika moja kueleza kwa nini ruzuku ya chama haifiki wilayani.
Mnapata taabu sana,
mmeishiwa facts mnahangaika na majungu,
Mara....,anekakaa muda mrefu, mara kala ruzuku...,khaaaaa
Mnataka awekwe TUPOI ili iwe rahisi kununulika?,
Chama Cha MAFEDHULI...,hapo m mechemsha.
 
Moderator tuondolee neno tetesi hapa , hii si tetesi tena .
 
kifo cha upinzani ni janga kwa watanzania wote. ndio maana yule mzee wa mwitongo alikubali kura 20% zishinde dhidi ya 80% kwa sababu maendeleo chanya yanaletwa nguvu mbili zinazokizana.
''AKITUMALIZA SISI ATAANZA NA NYIE'' TUNDU LISU
Lumumba hawajui hii,
Bila Yanga Imara Simba itayumba pia.
 
Kura za maoni 2020 yatandundana hayo!!! Tunasubiri....
 
Hii biashara haiwasaidi lakini kwa aibu hawawezi kuiacha maana watachekwa (wataulizwa imeleta tija gani) hivyo watajitutumua tu kuendelea nayo kuliko ku-surrender.

Eti hawa ndio watu wa kuipeleka Tanzania kufikia katika uchumi wa kati!!

Wabongo mtasubiri sana!!
.....
......Mkuu uliona mbali sana
 
Alumni wa LLM Centre for Human Rights - University of Pretoria
 
Hivi na sisi wapiga domo huku mitandaoni hakuna fungu letu tuanze kuunga mkono juhudi za Rais hapa JF?

Nawakaribisha inbox niingie kundi la malaya angalau nimeambulia walau Passo.
 
Kuna nogeshwa na Biashara ya Bin-adam?, biashara aliyoisema J.K. Nyerere alipowahutubia vijana toka moshi (ya Kuuza mwili na akili)?,
Endeleeni na hizo biashara huku mkijidanganya MNAPENDWA na mnakuza uzalendo....!,kwa Malipo ama ya taslim au ahadi etc...., Mnachokipanda mtakivuna na mkipokee Wapanda UDHALIMU huvuna UDHALIMU.

Kuuzwa au kujiuza hakujaanza leo mkuu. Na hakutakwisha leo.
Mbona akiuzwa mchezeji wa timu haiitwi biashara ya utumwa!!
Yawezekana CDM wanazalisha wachezaji wazuri zaidi ya "huku kwetu"
Wanaojiuza kwenye ajira mbalimbali mbona hatupingi hilo.

Waache wajiuze au wauzwe kama kuna uhitaji wa kufanya hivyo.
 
Back
Top Bottom