Idimi
JF-Expert Member
- Mar 18, 2007
- 15,328
- 11,192
Jimbo lake linaitwa Sumve, sio Kwimba mkuu.Mbunge RICHARD NDASA , Mbunge wa KWIMBA CCM amefariki DODOMA HOTEL leo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jimbo lake linaitwa Sumve, sio Kwimba mkuu.Mbunge RICHARD NDASA , Mbunge wa KWIMBA CCM amefariki DODOMA HOTEL leo
Ni kwasababu ndyo wanajulikana. Sasa afe mwajuma wa buza nani atatangaza. Si ndyo wqnazikwa na serikali alafu ndugu zao wanapigiwa tu simu kuwa tumeshazika.
Wazifukize maana Jiwe kasema sanitation siyo
sio kila mbunge ni msomi ndasa unaijua Elimu yake?Inasikitisha sana hata hawa tunaoamini ni wasomi waelimishe wakina sisi bado wanafanya makosa.
Wilaya ni kwimbaSumve ipo kwimba?
Na kushindwa kupumuaSIO CORONA KILA KIFO
1 STRESS
2 NGOMA
3 PRESSURE
4KISUKARI
5.MAWAZO
6.MAPENZI
7.MADENI
[emoji23][emoji23][emoji23] wamefanyaje?Mbunge wa Kongwa na aliyekuwa mbunge wa Chato sir corona do something
Umeelewa comment yangu nimeandika "Wasomi" na maanisha wingi hata kama sio yeye ila asilimia kubwa bungeni wana elimu kiasi.sio kila mbunge ni msomi ndasa unaijua Elimu yake?
Mkuu, kwenye madeni hapo si no hatarii, atapona Nani unadhani mkuuSIO CORONA KILA KIFO
1 STRESS
2 NGOMA
3 PRESSURE
4KISUKARI
5.MAWAZO
6.MAPENZI
7.MADENI
adi kufika june mwaka huu waheshimiwa wengi watakuwa wameisha likimbia bunge…………...
Ndiyo nmekuelewa ila pia wengi huo walifeli darasa la 7 wakarudia kwa majina ya kisukuma marais wa kuandikwa kwenye mawe IrambaUmeelewa comment yangu nimeandika "Wasomi" na maanisha wingi hata kama sio yeye ila asilimia kubwa bungeni wana elimu kiasi.
RIP Mh. Mbunge.View attachment 1434416
Kwa mujibu wa mbunge Godbles Lema na Waziri Kigwangalla ni kuwa mbunge wa Sumve Richard Ndassa amefariki dunia mapema leo.
Aidha taarifa zinasema kuwa Ndassa amefikwa na umauti baada ya kuanguka ghafla ndani ya viwanja vya bunge leo.
Inadaiwa pia kuwa ndani ya hoteli aliyokuwa akiishi kumepatikana vifaa vya kujifukiza.