Wangari Maathai
JF-Expert Member
- Aug 13, 2018
- 34,962
- 70,576
Duh... Ngj nconfirm
Kama ni yeye nlipiga naye sana masanga
Nlibahatika kupata offer zke 1,2,3
Ova
Sent using Jamii Forums mobile app
hii kitu inatafuna wabunge wa ccm tuu??
Ndio inapaswa kuwa hivyohii kitu inatafuna wabunge wa ccm tuu??
Alikuwa anatafuta njia yakupiga pesa tu hana lolote,Pia ilikuwa ni moja ya njia yakujiwekea mazingira mazuri kunyakua JIMBO.MAKONDA NI KATILI TU KAMA BABA YAKE.Soon tutapokea msiba mzitooo.
R.I.P rafiki na Tajiri mwenzangu kaka Ndassa.Nitamiss Offer za Mbuzi choma
Sent using Jamii Forums mobile app
Hakika huu ni unyakuo wa wana ccm,
Polisi waingilie kati
Utapata faida gani?!Na iwe hivyo
.kwani wewe utapata hasara ganiUtapata faida gani?!
Maombi yako yana nguvu mkuu.hatari sana tunaenda kuvunja record ya vifo kipindi hiki