Mbunge wa Tarime Mjini, Esther Matiko amjibu Spika Ndugai kuhusu kurudisha Posho

Kumbe ile hela mumepewa tu bila kuomba wala kusaini? Kuleni tu. There is no case to answer. It is a legal windfall. Hao ni kware walioletwa kwenu na upepo wa kisulisuli.
 
Hahaha Mkuu mimi naona nyumbu za ufipa km Wewe maana kwa akili zao zilivyo ndogo unawatembezea bakora hata mia wasijue
Na hivi dj kawashikia akili, naomba nafasi
Ngoja nikwambie kitu,ccm na serikali yake haihitaji mbumbu wa sampuli yako eti kuitetea,CCM Ni chama kilichoota mizizi na hakitegemei watu wenye IQ ndogo Kama yako ili kushindana uchaguzi,actually bila ya ya wapiga Domo Kama wewe CCM itaendelea kushika hatamu,
Kama Kuna mtu anakulipa shukuru mungu at least unapata hell ya kula bure bila kufanya chochote Cha maana zaidi ya kueneza umbumbumbu
 
Reactions: Pep
Rudisheni pesa za kodi zetu, kama issue ni kufanya shughuli za Kibunge mkiwa vyumbani kuna haja gani ya kwenda Dodoma si mngekaa huko huko mnakoamiaga mkishaupata Ubunge? RETURN BACK OUR MONEY
 
Hahaha Mkuu vipi unataka uitose sacos ya Mbowe Kwasababu Wananchi wameikataa [emoji3][emoji3]

Ccm ni ya Watanzania wote, huko Chadema mnajifunza siasa tu, ukikua na kujitambua utarudi Ccm

Ila km mlikula pesa za Mbowe msimkimbie kamanda kuelekea October
 
Matiko tulimtoa pale UDSM kitengo cha Political Science and Sociology akiwa binti mdogo tena akiwa lecturer msaidizi. Tumemkuza kisiasa na kiimani. Nyie vilumumba uchwara mnakuzwa katika kuabudu na kutumikia tumbo. Wapumbavu wakubwa!
Kipindi hiko madem wadangaji wanatoka Huko ...najiuliza mlianzanaje
 
Nataka uendelee kunivumilia hadi unipatie mtoto Mkuu
Mimi nimemvumilia siku mingi Sana,yaani anaongea Kama mlemavu wa akili ndo maana nimeona nimpe fact tu,,anatia aibu na ushabiki wake mbuzi
 
Nataka uendelee kunivumilia hadi unipatie mtoto Mkuu
Hivi unadhani CCM na serikali yake inakutegemea wewe uitete humu? wewe usie hata na point, yaani kweli unajidanganya eti unakipigania chama,,
You are wrong..huko siyo kufanya siasa
 
Rudisheni pesa za kodi zetu, kama issue ni kufanya shughuli za Kibunge mkiwa vyumbani kuna haja gani ya kwenda Dodoma si mngekaa huko huko mnakoamiaga mkishaupata Ubunge? RETURN BACK OUR MONEY
"return back our money " ndiyo kisukuma ama kimakonde , kichagga? tuache hayo, maana hujui kiswahili wala kingereza.
Magufuli arudishe fedha zetu, haiwezekani mwezi wa pili huu yupo tu nyumbani kwake CHATO, aende ikulu ndogo ya GEita ama Dodoma au DAr pa siku zote.
Nimrod mkono naye arudishe, hussen Mwinyi ambaye haonekani bungeni na hayupo ulya arudishe fedha zetu.
Nani aliwalipa fedha kabla ya kikao?
 
Rejesha mpunga
 
Hahaha Mkuu nakushauri kimbia Chadema, rudi Ccm
Ccm ni kwa ajili ya wa Watanzania wote

Punguza panic tuijenge Tanzania

Huchoki kuitwa kamanda wakati hata jkt hujaenda?[emoji3]
 
Hahaha hebu tuambie hapo Ufipa Ndio tabia yenu ya kugeuzana? Hii ni laana Sasa Ndio maana chama kinajifia Hicho Mkuu
Yaani Hapa ndo umefika,nilikuwa nakulia timing dada umejaa kwenye target,kifiro ntakupea utasimulia
 
Hahaha Wewe noma Mkuu umehamia kwenye kimombo tena
Tena ikibidi ita na mbuzi wenzako mje Hapa,I wanna deal with you in such a way you ain't gonna forget me in a hurry
 
Hahaha Mkuu nakushauri kimbia Chadema, rudi Ccm
Ccm ni kwa ajili ya wa Watanzania wote

Punguza panic tuijenge Tanzania

Huchoki kuitwa kamanda wakati hata jkt hujaenda?[emoji3]
Chadema..hebu Soma history Kisha Rudi hapa uniite mi chadema,at least piga flushback Hadi 2015 uone tulivyokua tukikampenia chama kwa akili,
Sio nyinyi mnafanya miropoko na siyo siasa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…