Mangungo II
JF-Expert Member
- Jul 6, 2012
- 18,133
- 26,766
Dunia nzima macho yapo kwenye Corona...watu hatujui nini kitatokea kesho ...Mbunge wa Jimbo la Ubungo Mhe. Said Kubenea, kesho Alhamis Aprili 2, 2020 atazungumza na waandishi wa habari moja kwa moja kutoka ofisi za gazeti la MwanaHALISI Kinondoni, jijini Dar es salaam.
Angehama tu leo leo mwanahalisi yake irudi mtaaniMbunge wa Jimbo la Ubungo Mhe. Said Kubenea, kesho Alhamis Aprili 2, 2020 atazungumza na waandishi wa habari moja kwa moja kutoka ofisi za gazeti la MwanaHALISI Kinondoni, jijini Dar es salaam.
CDM ni system sheikhCDM mnafeli wapi naona nyumba yenu ina nyufa kibao sana, navyoona mvunje tu chama wote mhamie NCCR mageuzi. Kumbe kweli majina huumba huku mapinduzi kule mageuzi
Mpaka siku anabaki Mbowe peke yake ndio mtajua chama kinakufaHuyu lofa asituchoshe kama anaondoka aondoke Tu kuna haja gani ya kuita mashahidi
Huyu lofa asituchoshe kama anaondoka aondoke Tu kuna haja gani ya kuita mashahidi
Mbunge wa Jimbo la Ubungo Mhe. Said Kubenea, kesho Alhamis Aprili 2, 2020 atazungumza na waandishi wa habari moja kwa moja kutoka ofisi za gazeti la MwanaHALISI Kinondoni, jijini Dar es salaam.