Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mtwara Vijijini CUF
CCM kwa kuigiza tu, hawajambo!
mtwara vijijini mmojaHivi bara mpaka sasa wameshinda upinzani wangapi ?
Kwa hela wanazolipwa na Maisha yalivyo sasa, LAZIMA wataingia tu mkuu, aise wabunge wanalipwa hela nzuri sana sana sana...Kwa hali inavyoenda sijui kama upinzani utapata wabunge hata 5. Lakini kuna mantiki gani wao kuwa wabunge katika mazingira haya?
Bora waachie wajivue tu wabaki CCM 100% maana kinachofanyika ni kuhadaa dunia.
Watz wanaipenda sana ccm ndio maana wapo majumbani wanafurahia ushindi wa ccm kwa amani. Kinyume na hapo wangekuwa mabarabarani wanaandamana.
Mmoja tuHivi bara mpaka sasa wameshinda upinzani wangapi ?
Chadema viti maalum wasahau. Magufuli ni zaidi shetani.
Maana yake ruzuku ndo kwishney. Wakiwa na ruzuku waliomba msaada wa kuchangiwa sasa bila ruzuku itakuajeChadema viti maalum wasahau. Magufuli ni zaidi shetani.
Yaani imenibidi nibaki kucheka tu.Sasa wengi wataunga juhudi walau wapate ukuu wa mikoa/wilaya.Maana yake ruzuku ndo kwishney. Wakiwa na ruzuku waliomba msaada wa kuchangiwa sasa bila ruzuku itakuaje
CUF ya lipumba.ni ccm-b.Mtwara Vijijini CUF
Sasa wapinzania wanatuletea wazungu (Mabeberu) kututisha sisi watz kweli? Watakual mavi yao sasa!!Hivi bara mpaka sasa wameshinda upinzani wangapi ?
Wewe umeshalaaniwa tayari.Jaji Mugasha alaaniwe na uzao wake na Hukumu ya MADED