Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mpaka sasa bara kunawabunge 6 wa upinzani.Hivi bara mpaka sasa wameshinda upinzani wangapi ?
Naona watakuwepo wabunge wa viti maalum tuKwa hali inavyoenda sijui kama upinzani utapata wabunge hata 5. Lakini kuna mantiki gani wao kuwa wabunge katika mazingira haya?
Bora waachie wajivue tu wabaki CCM 100% maana kinachofanyika ni kuhadaa dunia.
Utopolo huo wa wanasaccos na ACT Wazalendo.Jamani ni ya kweli haya?
Hahahahahaha ... endelea kuota mkuu!!Mpaka sasa bara kunawabunge 6 wa upinzani.
Lema.
Mdee
Mbowe
Heche.
Bulaya na Sugu.
"naombeni ruhusa niendelee kuota"
Wale vibaraka watakuwa wanafahamu leo siwaoni humu ndani. Polepole hakukosea aliposema lazima tuwafundishe adabu. Khe khe khe khe he khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeHivi bara mpaka sasa wameshinda upinzani wangapi ?
Watz wanaipenda sana ccm ndio maana wapo majumbani wanafurahia ushindi wa ccm kwa amani. Kinyume na hapo wangekuwa mabarabarani wanaandamana.
HapanaJamani ni ya kweli haya?
Hivi Maalim anakuzuiaje usiende fanya kazi yenye mshahara a marupurupu, na mafao baada ya miaka 5 alafu unakubali? Wakati maalim anatunzwa na serikali na hakulipii kodi ya nyumba?Na Pemba pia ila Maalim anaweza kuwazuia hao ila wa Mtwara ni 1 x1 tu huyu
Mzee chadema imemletea ugonjwa wa moyo na ile kukubalika kwa lisu Hadi huko Kanda ya ziwa bado Kuna muumiza moyo Sana tu. Hapo ccm lazima wapitishe Sheria kufuta upinzani, mzee kahubiri flyover Mara ndege watu hawamwelewi tundu lisu Bado anakusanya nyomi bila wasanii. I'm happy wapinzani wapumzike waachwe kuteswa aiseeChadema viti maalum wasahau. Magufuli ni zaidi shetani.
Nafikiri watawaomba wafuasi wao huku mitaani kama ilivyozoeleka.Maana yake ruzuku ndo kwishney. Wakiwa na ruzuku waliomba msaada wa kuchangiwa sasa bila ruzuku itakuaje
Watu wanawazia ujinga tu.Hata kama ni mimi siwezi kuacha hela kisa maalim.Hivi Maalim anakuzuiaje usiende fanya kazi yenye mshahara a marupurupu, na mafao baada ya miaka 5 alafu unakubali? Wakati maalim anatunzwa na serikali na hakulipii kodi ya nyumba?
Kaeni kwa kutulia, wana ufipa.Jamani ni ya kweli haya?