Uchaguzi 2020 Mbunge wa upinzani atakayeingia bungeni nitamshangaa sana

Uchaguzi 2020 Mbunge wa upinzani atakayeingia bungeni nitamshangaa sana

Tulishasema humu upinzani ulishakufa siku nyingi hamkuelewa. Kajipangeni upya, mkiwa na akili mrudi 2040.Hivi kwa Sera hizi, Kugawa Tanzania kwa kanda na kuwauzia mabeberu, kuweka rehani rasilimali, kuwaza tu kuuza mashirika yote ya umma pamoja na kuruhusu ushoga na usagaji hivi mlitegemea punguani nani awachague.
 
Mwenye matokeo ya Vunjo wadau aweke hapa
 
Kiukweli na mimi ntashangaa, Maana wababe wametumia maguvu sana kuiba kura....Sijui hata maalim seif huko anaposhikiliwa kama atatoka salama
Kura gani mmeibiwa manyumbu?. Wananchi mliwafanyia nini?.
 
Hivi Maalim anakuzuiaje usiende fanya kazi yenye mshahara a marupurupu, na mafao baada ya miaka 5 alafu unakubali? Wakati maalim anatunzwa na serikali na hakulipii kodi ya nyumba?
Ilishawahi kutokea huko nyuma sijui itakuwaje maana mzee Maalim huwa hasamei hata kidogo. Tumwombe tu MUNGU asikinukishe maaana kaachwa mbali sana na Mwinyi
 
Kura gani mmeibiwa manyumbu?. Wananchi mliwafanyia nini?.
Wananchi jana tuliopiga kura halali ni kama tulienda kucheza tu.

mambo yalishapangwa kitambo sana,

 
Jamani ni ya kweli haya?
Ya kweli si wangeleta kavideo kwajinsi mlivyokua wakuda.............hizo ni dalili za mwisho marehemu upinzani akiaga dunia atatunga kila awezalo kuonewa huruma
 
CHAMA Kipya cha upinzania Kinachokuja Nafikiri Mtatakiwa kuelew kuwa WATANZANIA hawataki USHOGA na Hawataki VIBARAKA WA MABEBERU.

Mtatakiwa akuelewa kuwa Tanzania Kufikiria unaweza kutumia nguvu ya umma au Vitisho havitakusaidia Bali vitakuangusha Sana. TANZANIA by Nature sio watu Wa Fujo ni Watu wa...... MUNGU ATAWALIPA😂🤣😂🤣... NI WATU WAKUTOA LAANA BILA VITENDO.

CHAMA pinzani kitakachukuja kinatakiwa kujua CCM Bado inanguvu sanaaaaa Misijidanganye na mitandao kabisa hatujafikia kuchukua takwimu za ushindi Wa kisiasa kwa kutumia Mshindo nyuma Wa mitandao (kimewaangusha CHADEMA kwa asilimia 60 hiki Mlijifanya kumuuiga Trump kuvikashifu vyombo vya habari😂🤣😂🤣 Mwenzenu Trump Kule marekani kuna TV inatwa FOX TV, yaani hawa ni wafia Republican. So pamoja na kuponda vyombo vya habari na kuamini Mitandao ya kijamiii alijua kabisa wafuasi wake wasiofuatilia mitandao ya kijamiii watapata news kupitia fox)

Wapinzani Jijengeni hata kwa miaka 10 bila kuwa na tamaa ya kuwania Uraisi Kuweni na vitega uchumi Kuweni na VYOMBO VYENU DHABITI VYA HABARI KAMA TV, RADIO NA,YOU TUBE CHANEL, ILI muwe na uwezo Wa kushindana na CHAMA kikongwe na chenye nguvu Sio Mnaibuka wakati Wa UCHAGUZI na kufikilia kujaza watu ndio njia pekee y kushinda uchaguzi🤨 Anzienii Kwenye Mashina, Kata,Tarafa wilaya mpaka mikoa Kuweni na ufuatiliaji Wa wanachama kuanzia ngazi za chini.

Jifunzeni Kusifia na kutambua Michango ya CHAMA Tawala..... haiwezekani muombe kura wananchi wenye akili Timamu kwa. Kutukana na kukashifu hata kile kidogo walichofanya wenzenu Sisi Sio Ulaya Sisi ni waungwana sana Tunapenda Watu wanaotambua Michngo ya wenzeo, Msiendeshe Kampeni zenu kwa kutumia Mifano ya Ulaya na Marekani Mtakwamaaaaa

NAKIKARIBISHA CHAMA KIPYA CHA UPINZANI NATUMAIN KITAKUA KINAJIFUNZA SASA .
NA TUTAKIWA NA UPINZANI WA KWELI

PONGEZI RAIS WANGU MPENDWA RAIS WA AFRICA KIBOKO YA MABEBERU NDUGU JONHE MAGUFULI.

NAKUAOMBA USIBWETEKE NAKUOMBA LICHUKULIE BUNGE KAMA WAPINZANI WAKO WAKUBWA KWA KUFANYA IVYO UTALETA MAENDELO AMBAYO YAKUFANYA UACHE ALAMA KATIKA MAISHA YA WATU.

UKIENDELEA KUTIMIZA MAENDELEO NAKUOMBA KUMBUKA TUKO NYUMA YAKO KWA SARA NA KUKUSAPOTI ILA PIA NA WEWE USITUSAHAU KUWA WATOTO WAKO LAZIMA TUVAE TULE NA TUENJOY MAISHA PIA WAKATI FULANI TULE BATA😂😂😂😂 PONGE MSUKUMA WA SHOKA
 
CHAMA Kipya cha upinzania Kinachokuja Nafikiri Mtatakiwa kuelew kuwa WATANZANIA hawataki USHOGA na Hawataki VIBARAKA WA MABEBERU.

Mtatakiwa akuelewa kuwa Tanzania Kufikiria unaweza kutumia nguvu ya umma au Vitisho havitakusaidia Bali vitakuangusha Sana. TANZANIA by Nature sio watu Wa Fujo ni Watu wa...... MUNGU ATAWALIPA😂🤣😂🤣... NI WATU WAKUTOA LAANA BILA VITENDO.

CHAMA pinzani kitakachukuja kinatakiwa kujua CCM Bado inanguvu sanaaaaa Misijidanganye na mitandao kabisa hatujafikia kuchukua takwimu za ushindi Wa kisiasa kwa kutumia Mshindo nyuma Wa mitandao (kimewaangusha CHADEMA kwa asilimia 60 hiki Mlijifanya kumuuiga Trump kuvikashifu vyombo vya habari😂🤣😂🤣 Mwenzenu Trump Kule marekani kuna TV inatwa FOX TV, yaani hawa ni wafia Republican. So pamoja na kuponda vyombo vya habari na kuamini Mitandao ya kijamiii alijua kabisa wafuasi wake wasiofuatilia mitandao ya kijamiii watapata news kupitia fox)

Wapinzani Jijengeni hata kwa miaka 10 bila kuwa na tamaa ya kuwania Uraisi Kuweni na vitega uchumi Kuweni na VYOMBO VYENU DHABITI VYA HABARI KAMA TV, RADIO NA,YOU TUBE CHANEL, ILI muwe na uwezo Wa kushindana na CHAMA kikongwe na chenye nguvu Sio Mnaibuka wakati Wa UCHAGUZI na kufikilia kujaza watu ndio njia pekee y kushinda uchaguzi🤨 Anzienii Kwenye Mashina, Kata,Tarafa wilaya mpaka mikoa Kuweni na ufuatiliaji Wa wanachama kuanzia ngazi za chini.

Jifunzeni Kusifia na kutambua Michango ya CHAMA Tawala..... haiwezekani muombe kura wananchi wenye akili Timamu kwa. Kutukana na kukashifu hata kile kidogo walichofanya wenzenu Sisi Sio Ulaya Sisi ni waungwana sana Tunapenda Watu wanaotambua Michngo ya wenzeo, Msiendeshe Kampeni zenu kwa kutumia Mifano ya Ulaya na Marekani Mtakwamaaaaa

NAKIKARIBISHA CHAMA KIPYA CHA UPINZANI NATUMAIN KITAKUA KINAJIFUNZA SASA .
NA TUTAKIWA NA UPINZANI WA KWELI

PONGEZI RAIS WANGU MPENDWA RAIS WA AFRICA KIBOKO YA MABEBERU NDUGU JONHE MAGUFULI.

NAKUAOMBA USIBWETEKE NAKUOMBA LICHUKULIE BUNGE KAMA WAPINZANI WAKO WAKUBWA KWA KUFANYA IVYO UTALETA MAENDELO AMBAYO YAKUFANYA UACHE ALAMA KATIKA MAISHA YA WATU.

UKIENDELEA KUTIMIZA MAENDELEO NAKUOMBA KUMBUKA TUKO NYUMA YAKO KWA SARA NA KUKUSAPOTI ILA PIA NA WEWE USITUSAHAU KUWA WATOTO WAKO LAZIMA TUVAE TULE NA TUENJOY MAISHA PIA WAKATI FULANI TULE BATA😂😂😂😂 PONGE MSUKUMA WA SHOKA

🚮🚮🚮🚮 Unanuka haswa.
 
Chadema viti maalum wasahau. Magufuli ni zaidi shetani.
Nafikiri viti hivi vinaangalia kura za urais AMA. Maana Toto Tundu amepata Asilimia fulani katika baadhi ya majimbo. Hivyo wanaweza kuambulia viti kama 20 hivi
 
Nafikiri viti hivi vinaangalia kura za urais AMA. Maana Toto Tundu amepata Asilimia fulani katika baadhi ya majimbo. Hivyo wanaweza kuambulia viti kama 20 hivi
Idadi ya wabunge. Ndo maana Zitto hakuwa na mbunge wa viti maalum
 
Nafikiri viti hivi vinaangalia kura za urais AMA. Maana Toto Tundu amepata Asilimia fulani katika baadhi ya majimbo. Hivyo wanaweza kuambulia viti kama 20 hivi
Sio kwamba wanaangalia idadi ya wabunge walioshinda?
 
Idadi ya wabunge. Ndo maana Zitto hakuwa na mbunge wa viti maalum
Duh! Kwa hiyo upinzani kwa heri !!! Ingawa tunaona powa siyo mazuri haya. BUNGE bila upinzani litapoa sana sana! Maana makamanda wote chali labda Halima amwangushe Rashid
 
Hahahaaaa... Akili sako nzuri sana. Hata picha haiwezi kuelewa:
1603996170660.png

Nyie upinzani mna matatizo ya akili, ameshinda wa cuf lkn bado mnataka kupinga
 
Back
Top Bottom