Pre GE2025 Mbunge wa Ushetu apiga magoti kuomba maji ya ziwa Victoria. Waziri amjibu "Samia ametoa pesa mkandarasi anakuja"

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Kiufupi anaupiga mwingi sana.

Ujinga ni kudhani Mama anaweza maliza matatizo yenu yaliyowashinda Kwa miaka zaidi ya 60 ndani ya miaka 4.
Kwenye hayo matatizo usimtoe yeye nawenzie ndo waliosababisha
 
Kwa hiyo mkandarasi asiipokuja na maji kukosekana alaumiwe mama Samia?
 
CCM kwa maigizo, hawajambo? Yaani kama ningekuwepo kwenye huo mkutano ningempa maswali magumu sana huyo mbunge mpk angejiuzulu.
 
Haya mambo ya maji yalipaswa kuwa mwisho miaka ya 95 huko karne ya 21 tunajadili kuzindua mradi wa maji??? Maana yake hadi 2040 tutakuwa bado hatujamaliz haya matatizo,,,
Samia atayamaliza kabla ya 2030
 
Samia atayamaliza kabla ya 2030
Huyuhuyu au tumsubilie mwingine?? Yaani makamba amevuruga pale tones tanesco badala alale nae mbele anamchekea tu!!!tuwe wakweli hakuna mahali ccm itatupeleka labda huyo mama tumvue gamba qhamie nccr mageuzi
 

View: https://twitter.com/Mastermark45/status/1746839996823121983?t=fUm6aLkac7ZHth28VY9mWg&s=19
 
Kwamba asingepiga magoti angepata jibu tofauti
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…