Mbunge wa Uturuki afariki siku mbili ya kuanguka tangu aliposema "Israeli watapata ghadhabu ya Mwenyezi Mungu""

Mbunge wa Uturuki afariki siku mbili ya kuanguka tangu aliposema "Israeli watapata ghadhabu ya Mwenyezi Mungu""

Ndio maana nime kuambia kuwa huna sifa za kuwa mwalimu ,kwahiyo na ww una amini kuwa amekufa kwa sababu ya kuikosoa Israel? [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Kwa hiyo ww utaishi milele kisa unaihusudi Israel ?
unajuaje kama nitakufa, je nikinyakuliwa kwenye ule unyakuo? Tusipende kulaani wengine, huwa nashangaa ndugu zako katika imani hawaachi kusema crush israel, down amerika katika yale maandamano yao yenye munkari huku wakichoma bendera za israel na marekani.
 
unajuaje kama nitakufa, je nikinyakuliwa kwenye ule unyakuo? Tusipende kulaani wengine, huwa nashangaa ndugu zako katika imani hawaachi kusema crush israel, down amerika katika yale maandamano yao yenye munkari huku wakichoma bendera za israel na marekani.
Kwahiyo ww utaishi milele ?hutaki nikuhukumu hali yakuwa ww umesha muhukumu huyo mzee aliye kufa kwa kusema amekufa kwa sababu ya kuilaani Israel kwa ushahidi gani ulio nao?

Mtu akiwa na mtazamo tofauti na wa kwako unasema ana laana.
 
Kwahiyo ww utaishi milele ?hutaki nikuhukumu hali yakuwa ww umesha muhukumu huyo mzee aliye kufa kwa kusema amekufa kwa sababu ya kuilaani Israel kwa ushahidi gani ulio nao?

Mtu akiwa na mtazamo tofauti na wa kwako unasema ana laana.
kwa kifupi, tuache kuilaani israel
 
Back
Top Bottom