MALCOM LUMUMBA
JF-Expert Member
- Jul 26, 2012
- 21,113
- 65,124
R.I.P Irene.......
Poleni sana wafiwa........
Poleni sana wafiwa........
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aisee Allah ampe kauli thabiti.Alikuwa anasafr uchungu ukamshika njian maeneo ya kibaha akafanyiwa upstairs lakini ndo hivyo haikuwa ridhiki
Mbunge wa viti Maalum (CCM) mkoa wa Rukwa Ndg. Irene Ndyamkama amefariki dunia leo tarehe 24 Aprili 2022 katika hospitali ya Tumbi mkoani Pwani alikokuwa akipatiwa matibabu.
Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt.Tulia Ackson ametangaza kifo hicho na kutuma salamu za pole kufuatia msiba huo.
“Nimepokea kwa masikitiko makubwa taarifa za kifo cha Mheshimiwa Irene Alex Ndyamkama, Natoa pole kwa familia ya marehemu, ndugu, jamaa, waheshimiwa wabunge na wananchi wa Mkoa wa Rukwa. Mwenyenzi Mungu awape moyo wa uvumilivu na subira katika kipindi hiki kigumu,” amesema Spika Tulia.
Mipango ya mazishi ya Ndg. Ndamkama inaratibiwa na Ofisi ya Bunge kwa kushirikiana na familia ya marehemu na taarifa zaidi zitaendelea kutolewa.
View attachment 2199028
View attachment 2199030
Duu jamaniKawaida tu
Utakuwa Mgeni nchi hii, Rukwa Katavi kuna kila Kabila hadi Wahutu na WatusiDuh Maisha haya!! Alitumia nguvu nyingi hadi mtu jina la kihaya unawakilisha Sumbawanga!! Bado hajafaidi Matunda ya jitihada zake!! Na Mwenyezi amjalie pumziko jema!!
Upstairs ni nini mkuuAlikuwa anasafr uchungu ukamshika njian maeneo ya kibaha akafanyiwa upstairs lakini ndo hivyo haikuwa ridhiki
Siyo ajali.....Pale Tumbi labda ni ajali.
Huo msiba unamhusu zaidi Samia kuliko mwenza, watoto, familia, ndugu au watu wa Jimbo lake? Au ni uchawa zaidi?Pole kwa mama Samia