TANZIA Mbunge wa Viti Maalum (CCM) mkoa wa Rukwa, Irene Ndyamukama afariki dunia

TANZIA Mbunge wa Viti Maalum (CCM) mkoa wa Rukwa, Irene Ndyamukama afariki dunia

Aisee Allah ampe kauli thabiti.

Binafsi huwa nikiona mjamzito huruma huniijia sana ukizingatia hali ya siku hizi vifo vipo jirani sana japo tunajifariji kuwa tumeendelea kwenye sekta hii.

Kwa sasa ukisikia mkeo/mpenzio nu mjamzito basi lazima uwe muangalifu kwa kila hatua, sisemi kwamba Mh. hakuwa na uangalifu ila nazungumzia jamii yetu kwa asilimia kubwa Mungu tuu ndio anayetusimamia.
Ni kweli
 
Siipendi CCM lakini kwa hili natoa pole za dhati. Natumaini mbegu yake (mtoto) imesalimika...

Sasa wewe mtu mzima unawezaje tangaza mambo ya mahaba yako kwa vyama. Kabisa una advocate mapenzi ya chama. So unataka kutuambia hujawahi kama K kulala na kada au kama me kumlala kada. Utakuwa mtu ajabu sana.
 
Ila nimesikia sio maramoja kwamba kwa suala la operation ya uzazi hapa Tumbi wanapewa vijana bila ya uangalizi wa madaktari.
Hata muda huu Kama mtakwenda pale wodi ya wazazi mtakutana na walioshonwa sivyo, waliopasuliwa sivyo wanaugulia pale.
Tusiandikie mate

Namie sijaelewa ni vipi C/S iwe sababu ya kifo cha mama mzazi?
 
Huyu ndiye alisema juzi kuwa matuta ya barabarani yapunguzwe kwa sababu yanaharibu viuno vya wanaume wa Rukwa au ni mwingine?

Apumzike salama [emoji1545][emoji1545][emoji1545]
Matuta yanahatibu barabara ...yapigwe marufuku tz ...kuna technology nziri zaido zinaweza kutumika na kuzidi kulipendezesha taifa letu badala ya matuta
 
Daah mama watoto wangu ni mjamzito miez 5 na alijifungua kwa Operation miaka miwili iliyopita nina mawazo sana aisee
 
Alikuwa anasafr uchungu ukamshika njian maeneo ya kibaha akafanyiwa upstairs lakini ndo hivyo haikuwa ridhiki

Duh!

Kuna uwezekano alikuwa na complications za kiafya...
 
Aisee Allah ampe kauli thabiti.

Binafsi huwa nikiona mjamzito huruma huniijia sana ukizingatia hali ya siku hizi vifo vipo jirani sana japo tunajifariji kuwa tumeendelea kwenye sekta hii.

Kwa sasa ukisikia mkeo/mpenzio nu mjamzito basi lazima uwe muangalifu kwa kila hatua, sisemi kwamba Mh. hakuwa na uangalifu ila nazungumzia jamii yetu kwa asilimia kubwa Mungu tuu ndio anayetusimamia.

+ huduma mbovu za afya
 
Aisee Allah ampe kauli thabiti.

Binafsi huwa nikiona mjamzito huruma huniijia sana ukizingatia hali ya siku hizi vifo vipo jirani sana japo tunajifariji kuwa tumeendelea kwenye sekta hii.

Kwa sasa ukisikia mkeo/mpenzio nu mjamzito basi lazima uwe muangalifu kwa kila hatua, sisemi kwamba Mh. hakuwa na uangalifu ila nazungumzia jamii yetu kwa asilimia kubwa Mungu tuu ndio anayetusimamia.
Mara nyingi ahuwa hatufikirii kuwa mimba ni jatari kiasi hiki. Lakini pia tekolojia zetu za tiba bado ni duni sana.
 
Back
Top Bottom