Mamndenyi
JF-Expert Member
- Apr 11, 2011
- 43,242
- 60,939
Pole nyingi sana. Huzuni kubwa mama kufariki wakati unamleta mtu duniani.Nilichanganya sio upstairs ni operation alifanyiwa tumbi alikuwa njian akitoka dom kwenda dsm sasa walipofika maeneo ya kibaha bahati mbaya chupa ikapusuka na siku zikiwa bado so huduma ya kwanza ni hapo tumbi ndo wakamfanyia operation mtoto akatoka akapelekwa muhimbili kwenye oxygen na hadi sasa yupo huko mtoto wa kiume ....na yeye pia alifanikiwa kuamka baada ya CS lakini mida ya jana alfajir hali ikabadilika akafariki mida ya saa 6 mchana
Na heri wangemkimbiza muhimbili na hali hiyo hiyo pengine wangeokoa maisha yake.
Wakati mwingine mimba zinasumbua sana.
Rest Easy my baby girl.