Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
YeahHuyu si ndo babake na Nahreal yule mwanamziki aliyejenga bonge la pangaloo mikocheni
Duuuh kumbe huku tupo na wazeeR.I.P classmate
Dunia ya kibepari hii...ubinafsi Kila KonaApumzike kwa Amani. Ila katuingiza mkenge kesi nyingi kwa maslahi binafsi
Are you serious!?R.I.P classmate
FafanuaOswald Mang'ombe.
Apumzike kwa amani.
Hebu Toka [emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji1787]R.I.P classmate
Kuna huyu na kuna Andrew Chengge, hawa watu hawa.., acheni tuDunia ya kibepari hii...ubinafsi Kila Kona
Km mama mzazi akitokea Hana huruma na wewe umekwishhaa
Aliyekuwa Mbunge wa Musoma Vijijini na Butiama na pia Wakili maarufu Nchini Nimrod Mkono amefariki asubuhi ya leo kwa saa za Marekani.
Akiongea na @ayotv_ kwa njia ya simu Mdogo wa Marehemu, Zadock Mkono amethibitisha kutokea kifo cha Kaka yake.
“Nimepewa taarifa na Shemeji (Mke wa Wakili Mkono) kwamba Mzee amefariki nimempigia Shemeji alikuwa analia tu ameshindwa kuongea vizuri, Mzee aliondoka Tanzania tangu mwaka 2018 akaelekea Marekani kwa matibabu kwasababu alikuwa anasumbuliwa na tatizo la kusahausahau, kumbukumbu zilikuwa zinapotea”
“Mimi nipo Tanzania kwa sasa ninachoweza kuthibitisha ni kwamba kweli amefariki taarifa zaidi za kama alikuwa anaugua ugonjwa mwingine na kama alikuwa Hospitali au amefariki ghafla hizo bado sijajua, nitawapa taarifa zaidi baadaye”
View attachment 2592241
Your classmate?! You might be in pain though. May his family have my utmost condolences🙏R.I.P classmate
Mkuu nitumie hata jeroNachukua kila kilicho changu bank ABC, hii ndo maana ya ile kauli ya mama , unaiba hela utazikwa nazo.. sema maisha haya mafupi sana
Aliishafariki kipindi kile cha Covid 19Hivi masumbuko Lamwai yupo wapi?
Haha mzee wa vijisent bado yupo yupo sana. Ndio walikuwa wakikaa meza moja na kuchambua mikataba ya serikali na foreign investors kabla ya utiaji wa saini.Kuna huyu na kuna Andrew Chengge, hawa watu hawa.., acheni tu
Upo kweli kwenye hii dunia?? Alishafariki dunia miaka ya 2020 au 2021 kama sijakoseaHivi masumbuko Lamwai yupo wapi?