King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 56,205
- 79,515
Tena anavuta kitu brand new syo reconditioned
Ova
Kabisa UDSM alikuja na Range Sports ya mwaka 2006 kutuliza Mgomo na ilikuwa Mwaka 2006 huo huo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tena anavuta kitu brand new syo reconditioned
Ova
Huyu mtu achana naye, amejenga masecondary Butiama kwa pesa zake binafsi akazipa majina ya machifu wa kizanaki na kuzikabidhi shule zote serikalini ni Mali ya serikali, Hakuna hata shule moja amejipa jina lake, siyo Utapeli kama wa kina Gertrude Lwakatare na Saint Marys zake kumbe zilitakiwa kusomesha yatima bure.Tena anavuta kitu brand new syo reconditioned
Ova
Wasira hana undugu na mkono, wala siyo hata Kabila moja.ndio ataenda kuuleta mwili wa Marehem Marekani akishirikiana na Hendrew Chenge
Sent using Jamii Forums mobile app
"Ndege Ndogo ya Nimrod Mkono ndiyo inawasili muda si mrefu kutokea jijini Dar es Es salaam"Busegwe ndio yalikuwa makao makuu ya Wasabato Tanzania ndio kijijini kwa Nimrod Mkono, palikuwa na airstrip hapo Busegwe na Nimrod Mkono alikuwa na jeuri ya kupark ndege yake binafsi hapo.
Wazuri hawafi, alipata kusema mlamba asali mmoja. RIP Mzee Mkono.Aliyekuwa Mbunge wa Musoma Vijijini na Butiama na pia Wakili maarufu Nchini Nimrod Mkono amefariki asubuhi ya leo kwa saa za Marekani.
Akiongea na @ayotv_ kwa njia ya simu Mdogo wa Marehemu, Zadock Mkono amethibitisha kutokea kifo cha Kaka yake.
“Nimepewa taarifa na Shemeji (Mke wa Wakili Mkono) kwamba Mzee amefariki nimempigia Shemeji alikuwa analia tu ameshindwa kuongea vizuri, Mzee aliondoka Tanzania tangu mwaka 2018 akaelekea Marekani kwa matibabu kwasababu alikuwa anasumbuliwa na tatizo la kusahausahau, kumbukumbu zilikuwa zinapotea”
“Mimi nipo Tanzania kwa sasa ninachoweza kuthibitisha ni kwamba kweli amefariki taarifa zaidi za kama alikuwa anaugua ugonjwa mwingine na kama alikuwa Hospitali au amefariki ghafla hizo bado sijajua, nitawapa taarifa zaidi baadaye”
View attachment 2592241
Mkuu unampa pole marehemu badala ya wafiwa?Pole yake
kweli hapa Nimrod Amenishangaza shule hata moja haina jina lake kama mafisadi na wanasiasa makanjanja wapendavyo kuandika majina yao katika taasisi. kwa Advocate Mkono ni tofauti.Huyu mtu achana naye, amejenga masecondary Butiama kwa pesa zake binafsi akazipa majina ya machifu wa kizanaki na kuzikabidhi shule zote serikalini ni Mali ya serikali, Hakuna hata shule moja amejipa jina lake, siyo Utapeli kama wa kina Gertrude Lwakatare na Saint Marys zake kumbe zilitakiwa kusomesha yatima bure.
Leo kuna majitu yanapenda tu vitu vya umma kupachika majina yao kiholela tu.
Airstrip ya Busegwe is no more, imegeuka barabara ya Ng'ombe na uwanja wa wanafunzi wa Chifu Ihunyo secondary school Busegwe iliyojengwa kwa pesa binafsi za Nimrod Mkono."Ndege Ndogo ya Nimrod Mkono ndiyo inawasili muda si mrefu kutokea jijini Dar es Es salaam"
Sent using Jamii Forums mobile app
Unaujuwa umri wa Nimrod Mkono? Ameshavuka umri wa Kibiblia.Wazuri hawafi, alipata kusema mlamba asali mmoja. RIP Mzee Mkono.
Zito na Mbowe walishutumiwa kuhusika kwenye kifo cha Wangwe, ndipo Mzee mkono akatoa gari lake likiwa na bendera ya bunge ili kuwatorosha eneo la tukio na kuwapeleka Mwanza.ilikuwaje mkuu back ground? hivi ni kweli Mbowe alinusuriwa na Nimrod Mkono?
Sent using Jamii Forums mobile app
Typing error daah..Mkuu unampa pole marehemu badala ya wafiwa?
Mzee alikuwa mtu wa watu. Alikuwa akikatiza Mitaa ya Samora na Mission lazima gari dereva apaki karibu na ofisi za Jiji anashuka kuingia PsspfAmeumaliza mwendo
Mzee wa marange rover
Pumzika kwa amani
Ova
Kingereza cha wapi hiki mkuu!!?He was dead
🤣🤣👏🤚🙌He was dead
DementiaR.I.P mzee mkono.
Tatizo la kusahau sahau.
Eeh? Madeni tena si alikuwa Taita?Apumzike Kwa Amani.... Mzee ameacha madeni sio ya nchi hii.Kama namuona Leah kichwa inavyouma