Uchaguzi 2020 Mbunge wako amefanya nini kwa miaka hii mitano mpaka sasa?


Mbunge wetu ametununulia King'amuzi cha Azam na TV flat screen pale maskan tunacheki cheki mambo tu bas. jengine jipya hamna, hamna kwa maana ya kwamba hamna, na baadae alinunuliwa akaenda upande ule.
 
Inaonesha ubunge ni kazi moja rahisi sana ila ina malipo makubwa.

Kufikiria kwamba wabunge wana pesa za kutengeneza barabara au kuleta maji au shughuli nyingine za maendeleo ni kutokujua utaratibu. Hayo ni maneno ya kisiasa ambayo yamepitwa na wakati. Na ndiyo maana wanaofikiri wakibadili wabunge mabadiliko yatatokea sio kweli.
 
Sio yeye ni serikali bwana mkubwa.yeye pesa ya kujenga barabara kuvuta maji hana.msipotoshe wananchi

Sent using Jamii Forums mobile app
wakati anafanya kampeni alituahidi kwamba atatuletea maji.nadhani aliambiwa na wapambe wake kwamba ilo eneo kulikuwa na tatizo sugu la maji na kuna wakati alikua akija kufanya mikutano na wananchi ya ndani na ya hadhara swala la maji likikua linajadiliwa sana.

Wabunge wote waliopita swala la maji walishindwa sasa kama yeye alituhaidi maji kisha serikali ikaleta kama unavyosema ww basi yote heri cha msingi alichoahidi kakitekeleza.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nani hajui utaratibu sie au wao wanatoa ahadi?
 
Hili jamaaa liongo sana, sijaona barabara ya changarawe kishiri to buhongwa ,mpaka dk hii na hyo mikopo unayosema labda amewapa ndg zake makopo ya maji


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Amejenga nyumba yake nzuri
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…