Inaonesha ubunge ni kazi moja rahisi sana ila ina malipo makubwa.
Mbunge anatakiwa kuieleza serikali mahitaji ya jimbo lake
Serikali inatakiwa kuyafanyia kazi mahitaji hayo.
Sema wabunge wanapenda sound sana wanaahidi tu ilihali wakijua hela ya utekelezaji haitoki mifukoni mwao.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuelekea mwaka huu wa uchaguzi,leo hebu tuwaangalie viongozi wetu wa majimbo(wabunge),tuliowapa dhamana ya uongozi ndani ya miaka mitano.Huku nilipo ni ktk jimbo la Ukonga jijini
Dar_es_salaam,na mbunge wa huku ni ndugu Mwita waitara kwasasa ni naibu waziri wa Tamisemi,huyu mtu mpaka sasa tangu anaingia mpaka anatoka hakuna kilichobadilika, kuanzia
kivule,kitunda,gongo la mboto na maeneo yake kama ulongoni changamoto kubwa ilikuwa madaraja na ubovu wa barabara, mvua zikinyesha kama una usafiri inabidi utafute parking sehemu nyingine hakuna madaraja na barabara mbovu,wakati anaanza kampeni kawanunulia sana wazee kahawa za kutosha wakaingia mkenge na vuguvugu lile la mabadiliko.
Baadaye alipounga juhudi ndio hata kurudi jimboni hajawahi,leo hii amerudi kwao huko mara ameanza kampeni za chinichini huku Ukonga anauhakika hapiti tena,huko mlipo wakuu hali ipoje?
Sent using Jamii Forums mobile app
Inaonesha ubunge ni kazi moja rahisi sana ila ina malipo makubwa.
wakati anafanya kampeni alituahidi kwamba atatuletea maji.nadhani aliambiwa na wapambe wake kwamba ilo eneo kulikuwa na tatizo sugu la maji na kuna wakati alikua akija kufanya mikutano na wananchi ya ndani na ya hadhara swala la maji likikua linajadiliwa sana.Sio yeye ni serikali bwana mkubwa.yeye pesa ya kujenga barabara kuvuta maji hana.msipotoshe wananchi
Sent using Jamii Forums mobile app
Nani hajui utaratibu sie au wao wanatoa ahadi?Kufikiria kwamba wabunge wana pesa za kutengeneza barabara au kuleta maji au shughuli nyingine za maendeleo ni kutokujua utaratibu. Hayo ni maneno ya kisiasa ambayo yamepitwa na wakati. Na ndiyo maana wanaofikiri wakibadili wabunge mabadiliko yatatokea sio kweli.
Hili jamaaa liongo sana, sijaona barabara ya changarawe kishiri to buhongwa ,mpaka dk hii na hyo mikopo unayosema labda amewapa ndg zake makopo ya majiStanslaus Mabula mbunge wa Nyamagana jiji la Mwanza kapigania sana tatizo la upatikanaji wa maji safi na salama maeneo sugu kama buhongwa,mahina,kishili bulale,sawa ya chini na ya juu.
Bwana stanslaus mabula imefanikiwa kuionganisha barabara muhimu ya buhongwa kishiri kwa kiwango cha changarawe.
Ameboresha zahanati nyingi kwa kuongeza vifaa tiba na majengo.
Bwana Mabula kajitahidi sana ukilinganisha na wabunge waliopita kwa kuhakikisha vijana wanapata mikopo kupita mfuko wa vijana wa mkoa.kwa kweli Stanslaus Mabula ana mengi mazuri na ana stahili pongezi za dhati,ametufanyia mengi wana nyamagana na anastahili pongezi.
Yapo mengi sana lkn naomba niwasilishe haya machahce
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuelekea mwaka huu wa uchaguzi,leo hebu tuwaangalie viongozi wetu wa majimbo(wabunge),tuliowapa dhamana ya uongozi ndani ya miaka mitano.Huku nilipo ni ktk jimbo la Ukonga jijini
Dar_es_salaam,na mbunge wa huku ni ndugu Mwita waitara kwasasa ni naibu waziri wa Tamisemi,huyu mtu mpaka sasa tangu anaingia mpaka anatoka hakuna kilichobadilika, kuanzia
kivule,kitunda,gongo la mboto na maeneo yake kama ulongoni changamoto kubwa ilikuwa madaraja na ubovu wa barabara, mvua zikinyesha kama una usafiri inabidi utafute parking sehemu nyingine hakuna madaraja na barabara mbovu,wakati anaanza kampeni kawanunulia sana wazee kahawa za kutosha wakaingia mkenge na vuguvugu lile la mabadiliko.
Baadaye alipounga juhudi ndio hata kurudi jimboni hajawahi,leo hii amerudi kwao huko mara ameanza kampeni za chinichini huku Ukonga anauhakika hapiti tena,huko mlipo wakuu hali ipoje?
Sent using Jamii Forums mobile app