Uchaguzi 2020 Mbunge wako amefanya nini kwa miaka hii mitano mpaka sasa?

Uchaguzi 2020 Mbunge wako amefanya nini kwa miaka hii mitano mpaka sasa?

Swali lako litapata jibu kama tutazijua kazi za mbunge kwanza
Kuna uhusiano gani kati ya changio langu na swali lako?? Kama unataka kuzijua kazi za mbunge uliza hivyo wala si kuja kitofauti. Kama wazijua usijifanya mjuvi sana. Weka wazi hapa kuwa kazi za mbunge ni:,,,,

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuelekea mwaka huu wa uchaguzi,leo hebu tuwaangalie viongozi wetu wa majimbo(wabunge),tuliowapa dhamana ya uongozi ndani ya miaka mitano.Huku nilipo ni ktk jimbo la Ukonga jijini

Dar_es_salaam,na mbunge wa huku ni ndugu Mwita waitara kwasasa ni naibu waziri wa Tamisemi,huyu mtu mpaka sasa tangu anaingia mpaka anatoka hakuna kilichobadilika, kuanzia

kivule,kitunda,gongo la mboto na maeneo yake kama ulongoni changamoto kubwa ilikuwa madaraja na ubovu wa barabara, mvua zikinyesha kama una usafiri inabidi utafute parking sehemu nyingine hakuna madaraja na barabara mbovu,wakati anaanza kampeni kawanunulia sana wazee kahawa za kutosha wakaingia mkenge na vuguvugu lile la mabadiliko.

Baadaye alipounga juhudi ndio hata kurudi jimboni hajawahi,leo hii amerudi kwao huko mara ameanza kampeni za chinichini huku Ukonga anauhakika hapiti tena,huko mlipo wakuu hali ipoje?

Sent using Jamii Forums mobile app
Sio kazi ya mbunge kujenga chochote kazi ya mbunge ni kuwasemea shida zao wananchi bungeni iliyobaki ni serikali kutekeleza matakwa wa wapiga kura jimboni

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sio yeye ni serikali bwana mkubwa.yeye pesa ya kujenga barabara kuvuta maji hana.msipotoshe wananchi
Stanslaus Mabula mbunge wa Nyamagana jiji la Mwanza kapigania sana tatizo la upatikanaji wa maji safi na salama maeneo sugu kama buhongwa,mahina,kishili bulale,sawa ya chini na ya juu.

Bwana stanslaus mabula imefanikiwa kuionganisha barabara muhimu ya buhongwa kishiri kwa kiwango cha changarawe.
Ameboresha zahanati nyingi kwa kuongeza vifaa tiba na majengo.

Bwana Mabula kajitahidi sana ukilinganisha na wabunge waliopita kwa kuhakikisha vijana wanapata mikopo kupita mfuko wa vijana wa mkoa.kwa kweli Stanslaus Mabula ana mengi mazuri na ana stahili pongezi za dhati,ametufanyia mengi wana nyamagana na anastahili pongezi.

Yapo mengi sana lkn naomba niwasilishe haya machahce

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
1.Kuisimamia na kuishauri Serikali ya Jamhuri ya Muungano na vyombo vyake vyote katika utekelezaji wa majukumu yake kwa mujibu wa Katiba
2.Kutunga sheria

Kwa madhumuni ya utekelezaji wa madaraka yake Bunge laweza(a) kumuuliza Waziri yeyoyote swali lo lote kuhusu mambo ya umma katika Jamhuri ya Muungano ambayo yako katika wajibu wake; (b) kujadili utekelezaji wa kila Wizara wakati wa Mkutano wa Bunge wa kila mwaka wa bajeti (c) kujadili na kuidhinisha mpango wowote wa muda mrefu au wa muda mfupi unaokusudiwa kutekelezwa katika Jamhuri ya Muungano, na kutunga sheria ya kusimamia utekelezaji wa mpango huo; (d) kutunga sheria pale ambapo utekelezaji unahitaji kuwapo sheria; (e) kujadili na kuridhia mikataba yote inayohusu Jamhuri ya Muungano na ambayo kwa masharti yake inahitaji kuridhiwa.
Hatuzijui tutajie.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuelekea mwaka huu wa uchaguzi,leo hebu tuwaangalie viongozi wetu wa majimbo(wabunge),tuliowapa dhamana ya uongozi ndani ya miaka mitano.Huku nilipo ni ktk jimbo la Ukonga jijini

Dar_es_salaam,na mbunge wa huku ni ndugu Mwita waitara kwasasa ni naibu waziri wa Tamisemi,huyu mtu mpaka sasa tangu anaingia mpaka anatoka hakuna kilichobadilika, kuanzia

kivule,kitunda,gongo la mboto na maeneo yake kama ulongoni changamoto kubwa ilikuwa madaraja na ubovu wa barabara, mvua zikinyesha kama una usafiri inabidi utafute parking sehemu nyingine hakuna madaraja na barabara mbovu,wakati anaanza kampeni kawanunulia sana wazee kahawa za kutosha wakaingia mkenge na vuguvugu lile la mabadiliko.

Baadaye alipounga juhudi ndio hata kurudi jimboni hajawahi,leo hii amerudi kwao huko mara ameanza kampeni za chinichini huku Ukonga anauhakika hapiti tena,huko mlipo wakuu hali ipoje?

Sent using Jamii Forums mobile app

Tuonyeshe budget ya mbunge ! wabunge ni wawakilishi tu kisheria hawana budget yeyote ya kusaidia mradi wowote. Ni wasemaji tu wa sehemu yenu.
 
1.Kuisimamia na kuishauri Serikali ya Jamhuri ya Muungano na vyombo vyake vyote katika utekelezaji wa majukumu yake kwa mujibu wa Katiba
2.Kutunga sheria

Kwa madhumuni ya utekelezaji wa madaraka yake Bunge laweza(a) kumuuliza Waziri yeyoyote swali lo lote kuhusu mambo ya umma katika Jamhuri ya Muungano ambayo yako katika wajibu wake; (b) kujadili utekelezaji wa kila Wizara wakati wa Mkutano wa Bunge wa kila mwaka wa bajeti (c) kujadili na kuidhinisha mpango wowote wa muda mrefu au wa muda mfupi unaokusudiwa kutekelezwa katika Jamhuri ya Muungano, na kutunga sheria ya kusimamia utekelezaji wa mpango huo; (d) kutunga sheria pale ambapo utekelezaji unahitaji kuwapo sheria; (e) kujadili na kuridhia mikataba yote inayohusu Jamhuri ya Muungano na ambayo kwa masharti yake inahitaji kuridhiwa.

Sent using Jamii Forums mobile app
Nafikiri hapo mkuu utakuwa umeridhika sasa.
 
Tuonyeshe budget ya mbunge ! wabunge ni wawakilishi tu kisheria hawana budget yeyote ya kusaidia mradi wowote. Ni wasemaji tu wa sehemu yenu.
Inaonesha ubunge ni kazi moja rahisi sana ila ina malipo makubwa.
 
Unauona umuhimu wa katiba mpya sasa?
Katiba itakayowapa wabunge na madiwani wajibu wa moja kwa moja wa kupanga na kutekeleza mipango ya maendeleo kwa wananchi wao waliowachagua na kuwezwa kuwajibishwa wao badala ya kumuuliza mkurugenzi ambaye hawajamchagua.
Inaonesha ubunge ni kazi moja rahisi sana ila ina malipo makubwa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuelekea mwaka huu wa uchaguzi,leo hebu tuwaangalie viongozi wetu wa majimbo(wabunge),tuliowapa dhamana ya uongozi ndani ya miaka mitano.Huku nilipo ni ktk jimbo la Ukonga jijini

Dar_es_salaam,na mbunge wa huku ni ndugu Mwita waitara kwasasa ni naibu waziri wa Tamisemi,huyu mtu mpaka sasa tangu anaingia mpaka anatoka hakuna kilichobadilika, kuanzia

kivule,kitunda,gongo la mboto na maeneo yake kama ulongoni changamoto kubwa ilikuwa madaraja na ubovu wa barabara, mvua zikinyesha kama una usafiri inabidi utafute parking sehemu nyingine hakuna madaraja na barabara mbovu,wakati anaanza kampeni kawanunulia sana wazee kahawa za kutosha wakaingia mkenge na vuguvugu lile la mabadiliko.

Baadaye alipounga juhudi ndio hata kurudi jimboni hajawahi,leo hii amerudi kwao huko mara ameanza kampeni za chinichini huku Ukonga anauhakika hapiti tena,huko mlipo wakuu hali ipoje?

Sent using Jamii Forums mobile app
Mbunge anatakiwa kuieleza serikali mahitaji ya jimbo lake
Serikali inatakiwa kuyafanyia kazi mahitaji hayo.

Sema wabunge wanapenda sound sana wanaahidi tu ilihali wakijua hela ya utekelezaji haitoki mifukoni mwao.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom