FK21
JF-Expert Member
- May 27, 2019
- 8,600
- 10,760
mbona ulikuwa haujapewa like?Wabunge waccm nimzigo achilia mbali Raisi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mbona ulikuwa haujapewa like?Wabunge waccm nimzigo achilia mbali Raisi.
inasikitisha ukweli nitakao kwambia mpka unakufa hauta vuka boda utakuwepo ndani ya jera ya CCMHuyu wa kwetu Ikungi ameishia kuolewa Ubelgiji, hakuna ahadi hata moja aliyotimiza
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni wajinga ndio maana wametawaliwa na huyo mbungeIgunga tumetelekezwa na Dalali Kafumu Mzee wa MAKINIKIA. Hata barabara YA kwenda Kijijini kwao Itumba ni mbaya haipitiki,Barabara za Wilayani Igunga ndio OVYO ovyoo wala hana habari. Wapambe wake wameanza kuzungua kugawa rushwa kwa Viongozi wa KATA elfu hamsini kila Mjumbe ili kumsafisha, Japo kwa CCM ya Dkt Magufuli sidhani kama rushwa zake zitamsaidi. Watanzania sio Wajinga
Mtoto wa mansoor uyo wa MOILUtakuwa mtoto wa mbunge fulani kilaza ktk jimbo X.
What a shit is this!
Sent using Jamii Forums mobile app
kibamba bdo unaishi kwa dada yako?Jimbola Kibambq Mungu ndio anajua, huyu jamaa asirudi tena, atafute Jimbo lingine huko.
Kidume mzima kazi kuropoka, unatia aibu.
Mbunge ni msemaji tu,mwenye fedha ni serekaliLakini mbunge ndio ana wajibu wa kuwasemea wananchi matatizo yao kwa serikali,bajeti inatoka serikalini na mwenye nguvu kubwa au mamlaka ya kuomba ni mbunge.
Sent using Jamii Forums mobile app
PM si alikuwepo huko wiki chache zilizopita nikamsikia anawaambia tatizo la barabara sasa kwisha au sio huko mkuu [emoji1787]?We unaongelea mbunge tu, hata waziri mkuu uku ruangwa hamna kipya kilichofanyika,
Kashindwa hata kuweka lami toka Nanganga -Ruangwa almost 54Km,View attachment 1403819View attachment 1403820
Sent using Jamii Forums mobile app
Swali hili alishindwa kujibu mbowe akabaki kulia lia tu kwenye vyombo vya habari
Wewe endelea kukariri kazi za mbunge ila sie tunaelezea yale yaliyo kwenye uhalisia na ndio yanayotufanya tuone yupi anatufaa na yupi hatufai kumchagua,wanafanya ujinga wa kila aina humo bungeni na si katika kazi za mbunge ila ukihoji mambo ya maendeleo ndipo unaulizwa kama unajua kazi za mbunge. Kuna wabunge hata sio wapiga kelele bungeni ila tunaona tija kwenye wanachokifanya.
Kuelekea mwaka huu wa uchaguzi,leo hebu tuwaangalie viongozi wetu wa majimbo(wabunge),tuliowapa dhamana ya uongozi ndani ya miaka mitano.Huku nilipo ni ktk jimbo la Ukonga jijini
Dar_es_salaam,na mbunge wa huku ni ndugu Mwita waitara kwasasa ni naibu waziri wa Tamisemi,huyu mtu mpaka sasa tangu anaingia mpaka anatoka hakuna kilichobadilika, kuanzia
kivule,kitunda,gongo la mboto na maeneo yake kama ulongoni changamoto kubwa ilikuwa madaraja na ubovu wa barabara, mvua zikinyesha kama una usafiri inabidi utafute parking sehemu nyingine hakuna madaraja na barabara mbovu,wakati anaanza kampeni kawanunulia sana wazee kahawa za kutosha wakaingia mkenge na vuguvugu lile la mabadiliko.
Baadaye alipounga juhudi ndio hata kurudi jimboni hajawahi,leo hii amerudi kwao huko mara ameanza kampeni za chinichini huku Ukonga anauhakika hapiti tena,huko mlipo wakuu hali ipoje?
Sent using Jamii Forums mobile app
Acha tuu kwakweli atafute pakwendaJimbola Kibambq Mungu ndio anajua, huyu jamaa asirudi tena, atafute Jimbo lingine huko.
Kwani Mtaturu si mwanaume? Sasa anaolewaje mkuu...au ni vile akili huna kabisa!Huyu wa kwetu Ikungi ameishia kuolewa Ubelgiji, hakuna ahadi hata moja aliyotimiza
Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe endelea kukariri kazi za mbunge ila sie tunaelezea yale yaliyo kwenye uhalisia na ndio yanayotufanya tuone yupi anatufaa na yupi hatufai kumchagua,wanafanya ujinga wa kila aina humo bungeni na si katika kazi za mbunge ila ukihoji mambo ya maendeleo ndipo unaulizwa kama unajua kazi za mbunge. Kuna wabunge hata sio wapiga kelele bungeni ila tunaona tija kwenye wanachokifanya.
Wewe endelea kukariri kazi za mbunge ila sie tunaelezea yale yaliyo kwenye uhalisia na ndio yanayotufanya tuone yupi anatufaa na yupi hatufai kumchagua,wanafanya ujinga wa kila aina humo bungeni na si katika kazi za mbunge ila ukihoji mambo ya maendeleo ndipo unaulizwa kama unajua kazi za mbunge. Kuna wabunge hata sio wapiga kelele bungeni ila tunaona tija kwenye wanachokifanya.