Uchaguzi 2020 Mbunge wako amefanya nini kwa miaka hii mitano mpaka sasa?

Uchaguzi 2020 Mbunge wako amefanya nini kwa miaka hii mitano mpaka sasa?

Igunga tumetelekezwa na Dalali Kafumu Mzee wa MAKINIKIA. Hata barabara YA kwenda Kijijini kwao Itumba ni mbaya haipitiki,Barabara za Wilayani Igunga ndio OVYO ovyoo wala hana habari. Wapambe wake wameanza kuzungua kugawa rushwa kwa Viongozi wa KATA elfu hamsini kila Mjumbe ili kumsafisha, Japo kwa CCM ya Dkt Magufuli sidhani kama rushwa zake zitamsaidi. Watanzania sio Wajinga
Ni wajinga ndio maana wametawaliwa na huyo mbunge

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Swali hili alishindwa kujibu mbowe akabaki kulia lia tu kwenye vyombo vya habari
 
We unaongelea mbunge tu, hata waziri mkuu uku ruangwa hamna kipya kilichofanyika,
Kashindwa hata kuweka lami toka Nanganga -Ruangwa almost 54Km,
20200325_090223.jpeg
20200325_090307.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unafahamu kazi za mbunge?

Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe endelea kukariri kazi za mbunge ila sie tunaelezea yale yaliyo kwenye uhalisia na ndio yanayotufanya tuone yupi anatufaa na yupi hatufai kumchagua,wanafanya ujinga wa kila aina humo bungeni na si katika kazi za mbunge ila ukihoji mambo ya maendeleo ndipo unaulizwa kama unajua kazi za mbunge. Kuna wabunge hata sio wapiga kelele bungeni ila tunaona tija kwenye wanachokifanya.
 
Nakumbuka enzi hizo tunapambana eti kulinda kura za huyu jamaa dah kwel siasa ni nyoko kabsa
Kuelekea mwaka huu wa uchaguzi,leo hebu tuwaangalie viongozi wetu wa majimbo(wabunge),tuliowapa dhamana ya uongozi ndani ya miaka mitano.Huku nilipo ni ktk jimbo la Ukonga jijini

Dar_es_salaam,na mbunge wa huku ni ndugu Mwita waitara kwasasa ni naibu waziri wa Tamisemi,huyu mtu mpaka sasa tangu anaingia mpaka anatoka hakuna kilichobadilika, kuanzia

kivule,kitunda,gongo la mboto na maeneo yake kama ulongoni changamoto kubwa ilikuwa madaraja na ubovu wa barabara, mvua zikinyesha kama una usafiri inabidi utafute parking sehemu nyingine hakuna madaraja na barabara mbovu,wakati anaanza kampeni kawanunulia sana wazee kahawa za kutosha wakaingia mkenge na vuguvugu lile la mabadiliko.

Baadaye alipounga juhudi ndio hata kurudi jimboni hajawahi,leo hii amerudi kwao huko mara ameanza kampeni za chinichini huku Ukonga anauhakika hapiti tena,huko mlipo wakuu hali ipoje?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Uhalisia wa kazi za mbunge ni upi?
Wewe endelea kukariri kazi za mbunge ila sie tunaelezea yale yaliyo kwenye uhalisia na ndio yanayotufanya tuone yupi anatufaa na yupi hatufai kumchagua,wanafanya ujinga wa kila aina humo bungeni na si katika kazi za mbunge ila ukihoji mambo ya maendeleo ndipo unaulizwa kama unajua kazi za mbunge. Kuna wabunge hata sio wapiga kelele bungeni ila tunaona tija kwenye wanachokifanya.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kazi zipi za mbunge nilizokariri?
Nataka kufahamu kazi za mbunge ili niweze kumpima mbunge wangu na mimi.
Wewe endelea kukariri kazi za mbunge ila sie tunaelezea yale yaliyo kwenye uhalisia na ndio yanayotufanya tuone yupi anatufaa na yupi hatufai kumchagua,wanafanya ujinga wa kila aina humo bungeni na si katika kazi za mbunge ila ukihoji mambo ya maendeleo ndipo unaulizwa kama unajua kazi za mbunge. Kuna wabunge hata sio wapiga kelele bungeni ila tunaona tija kwenye wanachokifanya.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom