KIKOROO
Member
- Mar 18, 2020
- 92
- 137
Jimbo langu n Hai KakaUtakuwa mtoto wa mbunge fulani kilaza ktk jimbo X.
What a shit is this!
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jimbo langu n Hai KakaUtakuwa mtoto wa mbunge fulani kilaza ktk jimbo X.
What a shit is this!
Sent using Jamii Forums mobile app
Kumbe ndo makengeza anawatia fix namna iyo?Jimbo langu n Hai Kaka
Unataka Alilainishe Kaka hahahahahahaHuko KATAVI jimbo la KAVUU kuna mwanamke mmoja mlevi ni mbulula wakiwango cha RAMI.
Boya to the Maximum!
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23]Huko KATAVI jimbo la KAVUU kuna mwanamke mmoja mlevi ni mbulula wakiwango cha RAMI.
Boya to the Maximum!
Sent using Jamii Forums mobile app
Hujitambui Wewe Mbowe Ni Mkombozi was Taifa Tena Kaa kmya...
Una
Unataka Alilainishe Kaka hahahahahaha
Hujitambui Wewe Mbowe Ni Mkombozi was Taifa Tena Kaa kmya...
Stanslaus Mabula mbunge wa Nyamagana jiji la Mwanza kapigania sana tatizo la upatikanaji wa maji safi na salama maeneo sugu kama buhongwa,mahina,kishili bulale,sawa ya chini na ya juu.
Bwana stanslaus mabula imefanikiwa kuionganisha barabara muhimu ya buhongwa kishiri kwa kiwango cha changarawe.
Ameboresha zahanati nyingi kwa kuongeza vifaa tiba na majengo.
Bwana Mabula kajitahidi sana ukilinganisha na wabunge waliopita kwa kuhakikisha vijana wanapata mikopo kupita mfuko wa vijana wa mkoa.kwa kweli Stanslaus Mabula ana mengi mazuri na ana stahili pongezi za dhati,ametufanyia mengi wana nyamagana na anastahili pongezi.
Yapo mengi sana lkn naomba niwasilishe haya machahce
Sent using Jamii Forums mobile app
Igunga tumetelekezwa na Dalali Kafumu Mzee wa MAKINIKIA. Hata barabara YA kwenda Kijijini kwao Itumba ni mbaya haipitiki,Barabara za Wilayani Igunga ndio OVYO ovyoo wala hana habari. Wapambe wake wameanza kuzungua kugawa rushwa kwa Viongozi wa KATA elfu hamsini kila Mjumbe ili kumsafisha, Japo kwa CCM ya Dkt Magufuli sidhani kama rushwa zake zitamsaidi. Watanzania sio Wajinga
Lakini mbunge ndio ana wajibu wa kuwasemea wananchi matatizo yao kwa serikali,bajeti inatoka serikalini na mwenye nguvu kubwa au mamlaka ya kuomba ni mbunge.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi ni mkazi wa jimbo la Ukonga, Mbuge wangu Mwita Waitara; Naona Kikubwa alichokifanya ni kuhama CHADEMA na kuhamia CCM basi
Mbunge wetu ni Katani Ahmed Katani jambo kubwa la kukumbukwa ni kuunga Juhudi za serikali ya awamu ya tano akitokea CUF.
Utakuwa mtoto wa mbunge fulani kilaza ktk jimbo X.
What a shit is this!
Sent using Jamii Forums mobile app
Jimbola Kibambq Mungu ndio anajua, huyu jamaa asirudi tena, atafute Jimbo lingine huko.
Nyie wenyewe mnachagua mbunge kwa kuangalia vyama tu,hamchagui mtu kwa sababu mmeona anafaa kuwa mbunge wenu bali mnamchagua kwa sababu ya chama alichopo.
Sasa unaambiwa mbunge tangu alivyochaguliwa hajakanyaga kwenye jimbo lake lakini uchaguzi ukija anachaguliwa tena hapo ndiyo utashangaa,tunakuwa na wabunge ambao hawaoni kama wanatakiwa kuwajibika kwetu kwa sababu sisi ndio tuliyowachagua.
Tuache kuendekeza sana siasa za vyama.
Umekuja kunifundisha kazi za mbunge?