Mbunge wangu Mwigulu umeshindwa kabisa!

Mbunge wangu Mwigulu umeshindwa kabisa!

Ndiyo maana Mwigulu anatakiwa kujitengenezea mazingira ya ama kuachana na siasa kwa wakati huu au kufikiria kuwapigia magoti wapinzani ili JPM akimkata awe na tawi la mti mwingine alishike. Harakati hizo azionesha sasa naawe Mwanaume wa shoka asiwe mnyonge kwa JPM.

Mkuu huu ushauri unaoutoa kwa Mwigulu ni kama unamdanganya tu, Mwigulu hana uwezo wowote wa kuwa na maisha ya juu nje ya siasa za mbeleko za ccm. Na hana uanaume wowote kama hana mbeleko ya vyombo vya dola. Mwigulu uliyekuwa unamuona jasiri ni kwakuwa alikuwa anazungukwa na vyombo vya dola, na alikuwa anaweza kuagiza kufanyika ukatili wowote kutokana na madaraka yake. Nje ya madaraka Mwigulu ni sawa na kasichana ka shule ya awali. Atajijinyenyekeza kwa Magufuli taka asitake, kwani anajua aliyoyafanya kaburi likifukuliwa atakuwa mpishi huko jela.
 
Kwenye hili la karma, naomba kumtetea Mwigulu.

Kuna viongozi wengi wametumbuliwa katika hao wanaotumbuliwa kuna baadhi kweli ni majipu na sababu za kutumbuliwa huwa zinawekwa. Lakini wengine wanatumbuliwa tuu kwa sababu nyingine na sio majipu, hawa wanaotumbuliwa ambao sio majipu, sababu za kutumbuliwa kwao huwa hazitolewi, Mwingulu Mchemba ni mmoja wa watu hawa, sasa kwa mujibu wa taarifa za koridoni zilizopelekea Mwigulu kutumbuliwa, naomba uniamini mimi, karma haitamhusu!.

Ukipitia bandiko hili, kuna kitu nilikisema kumhusu Mwigulu kabla hajatumbuliwa kilichopelekea akatumbuliwa ila huyu sio jipu!.

P
Ndiyo maana hapo juu nimemshauri Mwigulu asiwe mnyonge kivile. Kama alishatendwa sasa anaficha kichwa uvunguni ili iweje? Au ile ajali ya kumgonga punda nayo ilikuwa ni mkakati wa Wasiojulikana kummaliza?
 
Mkuu huu ushauri unaoutoa kwa Mwigulu ni kama unamdanganya tu, Mwigulu hana uwezo wowote wa kuwa na maisha ya juu nje ya siasa za mbeleko za ccm. Na hana uanaume wowote kama hana mbeleko ya vyombo vya dola. Mwigulu uliyekuwa unamuona jasiri ni kwakuwa alikuwa anazungukwa na vyombo vya dola, na alikuwa anaweza kuagiza kufanyika ukatili wowote kutokana na madaraka yake. Nje ya madaraka Mwigulu ni sawa na kasichana ka shule ya awali. Atajijinyenyekeza kwa Magufuli taka asitake, kwani anajua aliyoyafanya kaburi likifukuliwa atakuwa mpishi huko jela.
Nafikiri hatakiwi kufanya ghafla. Aanze taratibu, wkt wengine wakijiandaa kwa uchaguzi, yeye aanze kuomba kazi kule WTO, UN, SADC na kwinginekeo ilimradi tu afanyie kwenye level ya kimataifa asing'ang'anie hapa Bongo manake patazidi kumchora. Akikataa kuwa maisha bila nje ya siasa hayawezekani basi atakuwa kazidisha unyonge!
 
Hukumwelewa mkuu,rudia kusoma bandiko lake tena
Mkuu tunashukuru kwa mchango wako, nakushauri achana na michango ya siasa rudi shule kwanza ukijifunze kuandika kwa usahihi, kama kuweka koma, nukta na matumizi ya herufi kubwa na ndogo. Pia una tatizo la matumizi ya herufi H kwenye uandishi wako. Usidhalilishe shule za kata tafadhali.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwenye hili la karma, naomba kumtetea Mwigulu.

Kuna viongozi wengi wametumbuliwa katika hao wanaotumbuliwa kuna baadhi kweli ni majipu na sababu za kutumbuliwa huwa zinawekwa. Lakini wengine wanatumbuliwa tuu kwa sababu nyingine na sio majipu, hawa wanaotumbuliwa ambao sio majipu, sababu za kutumbuliwa kwao huwa hazitolewi, Mwingulu Mchemba ni mmoja wa watu hawa, sasa kwa mujibu wa taarifa za koridoni zilizopelekea Mwigulu kutumbuliwa, naomba uniamini mimi, karma haitamhusu!.

Ukipitia bandiko hili, kuna kitu nilikisema kumhusu Mwigulu kabla hajatumbuliwa kilichopelekea akatumbuliwa ila huyu sio jipu!.

P

Sikatai ww kumtetea Mwigulu hiyo ni haki yako, lakini Mwigulu ni mmoja kati ya watu walioshiriki na kuendesha siasa chafu sana hapa nchini. Hata hizi siasa chafu zinazoendelea hivi sasa hapa nchini, yeye alikuwa sehemu ya kuziasisi. Huenda hilo la Lisu lilimgusa, labda kwa ajili ya damu nzito kuliko maji, lakini Mwigulu hana rekodi ya uadilifu kwenye matukio kama hayo ya Lissu.
 
Nafikiri hatakiwi kufanya ghafla. Aanze taratibu, wkt wengine wakijiandaa kwa uchaguzi, yeye aanze kuomba kazi kule WTO, UN, SADC na kwinginekeo ilimradi tu afanyie kwenye level ya kimataifa asing'ang'anie hapa Bongo manake patazidi kumchora. Akikataa kuwa maisha bila nje ya siasa hayawezekani basi atakuwa kazidisha unyonge!

Wangalau ushauri huu una maana. Tatizo linakuja, je ni mtu competent kuweza kupata nafasi kwenye mashirika ya kimataifa? Kumbuka hapa nchini aliweza kupata nafasi za juu kama fadhila kwa mchango wake kwenye uga wa kisiasa, je akienda sehemu wanakohitaji uwezo anaweza kutoboa?
 
Atafute kazi mara ngapi ? Ataishi kwa biashara yake ya Mabasi ya ESTER LUXURY COACH! ana Yutong za kutosha tu kwenda Singida, Kiomboi, Moshi
Rombo.... ! 😎
Kumbe ni mabasi yake yale! Mbona tayari yanasusua? Sifikirii km yana miaka mitatu mbele. Akipoteza na ubunge sio ndiyo basi tena!
 
Atafute kazi mara ngapi ? Ataishi kwa biashara yake ya Mabasi ya ESTER LUXURY COACH! ana Yutong za kutosha tu kwenda Singida, Kiomboi, Moshi
Rombo.... ! 😎

Hizo biashara za viongozi huwa zinashamiri wanapokuwa madarakani tu, wakitoka hizo biashara zao zote huanguka. Sasa kama anamiliki kampuni ambayo anaogopa hata kuonekana yeye ni mmiliki, unategemea hiyo kampuni inaweza kupambana iwapo haina upendeleo kutoka taasisi za kimamlaka?
 
Hata Magufuli mwenyewe haya anayoyafanya Chato,hakuyafanya kipindi kile alichokuwa mbunge wa Chato,amesubiri mpaka amekuwa Rais ndio ameanza kuyafanya kwa kuwa kufanya kile na kile hasa kinachohusu matumizi ya pesa si kazi ya mbunge ni kazi ya serekali kupitia kodi za wananchi, kazi ya mbunge ni kukusanya kero na mahitaji ya wananchi katika jimbo lake na kuipelekea serekali yenye wajibu wa kuwahudumia wananchi wake.

Sasa kama kila mbunge atakuwa anafanya mambo yote kwa kutumia fedha zake, kazi ya serekali itakuwa ni ipi kwa kuwa kazi zote zitakuwa zimefanywa na wabunge wa majimbo kwa kutumia fedha zao?, kama ni hivyo basi hata maana ya kuwa na serekali haitakuwepo.
 
Kumbe ni mabasi yake yale! Mbona tayari yanasusua? Sifikirii km yana miaka mitatu mbele. Akipoteza na ubunge sio ndiyo basi tena!

Mkuu uko sahihi sana, hujaona hata Singida United iko hoi baada ya yeye kupoteza uwaziri? Kwa ujumla viongozi wetu wanakuwaga na nguvu wanapokuwa madarakani, kwani hutumia madaraka yao kujipa upendeleo, lakini wakitoka madarakani na kuingia kwenye ushindani wa kweli, huishia kukwama.
 
Hizo biashara za viongozi huwa zinashamiri wanapokuwa madarakani tu, wakitoka hizo biashara zao zote huanguka. Sasa kama anamiliki kampuni ambayo anaogopa hata kuonekana yeye ni mmiliki, unategemea hiyo kampuni inaweza kupambana iwapo haina upendeleo kutoka taasisi za kimamlaka?
Hapo sasa ! Kiukweli wanasiasa huwa wanajimaliza wenyewe!
 
Mkuu uko sahihi sana, hujaona hata Singida United iko hoi baada ya yeye kupoteza uwaziri? Kwa ujumla viongozi wetu wanakuwaga na nguvu wanapokuwa madarakani, kwani hutumia madaraka yao kujipa upendeleo, lakini wakitoka madarakani na kuingia kwenye ushindani wa kweli, huishia kukwama.
Ok
 
Nilichogundua tangu zamani wkt nikiperuzi JF nikiwa sina akaunti Paskali wewe ni "mtabiria kila mtu". Paskali wkt wa Uchaguzi ukifika kila aliyekuwa akionesha anaonesha nia ulikuwa ukimtabiria tu vile au vile ilimradi tu ikitokea kashinda au kakwama basi moja kwa moja inaonekana utabiri wako ulikuwa wa kweli. Hamna uliyekuwa ukiacha kumwongelea ndiyo maana na hapo umeleta thread uliyowahi kuandika ukimtabiria Mwigulu.
Mkuu Mnambua, kwanza mimi sio mtabiri, mimi ni just a commentator,

Kazi ya kuwataja wagombea wa uchaguzi wa 2015 tuliianza toka 2011 kama ambavyo kazi ya kuwataja wagombea wa 2025 turaianza 2021.

kwenye wagombea wote zaidi ya 40 wa CCM, niliwagawa katika mafungu 10 na kutoa list yangu ya 10 bora katika kila fungu

Wengi Magufuli walimjua 2015 baada ya kuteuliwa, angalia akina sisi tulimtaja lini


Huu sio utabiri ni trends readings, usomaji mielekeo. Mfano mzuri ni mwaka huu, huu ni mwaka wa uchaguzi na Tanzania tuna vyama vingi, mwelekeo unaelekeza upinzani unakwenda kuwa dumped totally, Bunge lijalo ni Bunge la CCM predominantly. Hili likitokea utasema ni utabiri?. No sio utabiri ni mielekeo.
P
 
wa vyama vingine hawalipwi posho za bunge?
Siku ya hoja ya kupunguza posho za bunge ndio wabunge wa vyama vyote waliungana kutetea hoja

Ukiwasema wa ccm peke yake ni makengeza ya makusudi
Miongoni mwa mafisadi wanaoiba kisheria ni wabunge hasa Wa CCM. Hawana lolote la ziada zaidi ya kulipana posho huku wananchi wakiendelea kuwa masikini.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu Mnambua, kwanza mimi sio mtabiri, mimi ni just a commentator,

Kazi ya kuwataja wagombea wa uchaguzi wa 2015 tuliianza toka 2011 kama ambavyo kazi ya kuwataja wagombea wa 2025 turaianza 2021.

kwenye wagombea wote zaidi ya 40 wa CCM, niliwagawa katika mafungu 10 na kutoa list yangu ya 10 bora katika kila fungu

Wengi Magufuli walimjua 2015 baada ya kuteuliwa, angalia akina sisi tulimtaja lini


Huu sio utabiri ni trends readings, usomaji mielekeo. Mfano mzuri ni mwaka huu, huu ni mwaka wa uchaguzi na Tanzania tuna vyama vingi, mwelekeo unaelekeza upinzani unakwenda kuwa dumped totally, Bunge lijalo ni Bunge la CCM predominantly. Hili likitokea utasema ni utabiri?. No sio utabiri ni mielekeo.
P
Sawa Mkuu Paskali. Ingawa unakataa unachoandika sio utabiri lkn kwa uelewa wangu naona ni utabiri.
 
Back
Top Bottom