Themagufulianz
JF-Expert Member
- Apr 15, 2017
- 4,548
- 1,988
Umeandika nini dogo, maana sielewi umesema nini?
ati maagizo ya magufuli... kama uliwahi kuwapo wakati ana agiza mbona hujawahi kumrekodi?
mko very illusive na Magufuli... kawaingilia sana kimwili... na kiroho[emoji16][emoji16]
Sent using Jamii Forums mobile app
Wala sihitaji kumsikia, bali matendo tu yanadhihirisha nani mtoa maagizo fullstop.
Tindo,kwa maelezo fikirishi tu Majimbo yapo ndani ya wilaya na wilaya hipo ndani ya mkoa. Mkuu wa mkoa na wilaya miaka ya sasa ndio wamekuwa kama wanafanya kazi zisizo zao sijui mfano hapa Dar.
Huenda kuna jambo ambalo hukulielewa katika bandiko aliloweka mkuu 'chizcom' na kukusababishia hisia za kumjibu kama ulivyomjibu.chizcom,
Mkuu tunashukuru kwa mchango wako, nakushauri achana na michango ya siasa rudi shule kwanza ukijifunze kuandika kwa usahihi, kama kuweka koma, nukta na matumizi ya herufi kubwa na ndogo. Pia una tatizo la matumizi ya herufi H kwenye uandishi wako. Usidhalilishe shule za kata tafadhali.
Eeenh, kana kwamba huu ndio ukweli wenyewe na hakuna ukweli zaidi ya huu.Kama unataka kugombea Iramba, gombea tuu kwa kusema utafanya nini, hakuna jimbo lolote ni mali ya mtu, huna haja ya kutumia jina la Magufuli kumtishia Mwigulu, Mbunge aliyepo ni Mwigulu na ni Mbunge wa jimbo la Iramba na amechaguliwa na wana Iramba na sio Mbunge wa jimbo la Magufuli, hivyo hivyo vitisho vya kuwa Magufuli atamkata, usitishe watu, wanaochagua ni wana Iramba, wakijiona kama bado wanamuhitaji Mwigulu wao na Magufuli kweli akamkata, its up to Wanairamba kumkubali huyo atakayepitishwa au kumchukua Mwigulu wao na kumrudisha kupitia chama kingine, hivyo ndivyo wapinzani wengi waliingia bungeni toka Dr. Slaa hadi Mwambe.
PMwigulu Lameck Nchemba, Is The Most Genuine So Far!-Can Make The Best President!-Nimeguswa!
Wanabodi, Tuweke ushabiki pembeni, kati ya watangaza nia watatu kati ya jana na leo, Mwigulu Lameck Nchemba ndiye mgombea who is the most bonafide genuine so far, ukimuangalia huku unamsikiliza, utaiona his genuinety kutoka moyoni mwake 'to practice what he preach' kwa aliyoyasema yanaonekana...www.jamiiforums.com
Hipo = Ipomimi mpaka leo sijaelewa kazi wala faida za wabunge na majimbo yao.
kwa maelezo fikirishi tu Majimbo yapo ndani ya wilaya na wilaya hipo ndani ya mkoa. Mkuu wa mkoa na wilaya miaka ya sasa ndio wamekuwa kama wanafanya kazi zisizo zao sijui mfano hapa Dar.
Hivi hizi Halmashauri kuna madiwani nazo hata kumpa nafasi mbunge hawe mwenye kupitia au kuongoza sioni.
labda wabunge wabaki bungeni tu kueleza
Sent from my iPhone using JamiiForums
Umekosa kazi ya kufanya? Umekosa story ya kuandika? Ongelea hata Simba na Yanga tu. Kuliko KUONGELEA USICHOKIJUA.Wewe ni Mchumi na siku zote wachumi huelezea uhalisia wa mambo kwa namba. Wataalamu wanadai "namba haziongopi".
Mheshimiwa umekosa ujasiri wa kusema mambo ambayo umeifanyia Iramba kwa sababu hamna ulichofanya ambacho unaweza kujivunia.
Au unataka kuongelea kwa mfano shule yako ya Kata yaani Kyengege kutoka nafasi ya 15 kimkoa Mwaka juzi na kufikia nafasi ya 8 kwa Mwaka jana hayo ni mafanikio?
Viko wapi visima vya maji ulivyoahidi katika vijiji mbalimbali vya Iramba, umeshinikiza vipi Mradi wa umeme wa REA kukamilishwa pale ulipokomea?
Ukiacha Kituo cha Afya cha Kinampanda wapi kwingine unapojivunia uliacha?
Ukweli ulikazania siasa za Kitaifa za kutaka uwe Rais - wapi sasa maendeleo uyaonayo yameletwa na siasa zako za Kitaifa zaidi ya kuzidi kunyongonyezwa tu wewe na Nape na Januari?
Na inadaiwa umewekewa TISS wa kumwaga tu hadi chumbani kwako!
Kikubwa tumia akili achia ngazi mapema, tafuta kitu bora zaidi cha kufanya ili kuepukana na Rais Magufuli kwenye siasa kwa kuwa kwa vyovyote anavyokuchulia wewe ni threat kwake atahakikisha anakukata juu kwa juu na Ubunge hutopata!
Tindo,
Huenda nami niko kwenye kundi la mkuu 'chizcom', hasa katika mstari huu, kwa maana sijui kazi za mbunge jimboni siku hizi.
Itasaidia sana kama kuna elimu tusiyokuwa nayo sisi juu ya hilo tukaelimishwa.
Huenda kuna jambo ambalo hukulielewa katika bandiko aliloweka mkuu 'chizcom' na kukusababishia hisia za kumjibu kama ulivyomjibu.
Au pengine kuna nisichokijua mimi kilichopo kati yenu?
Muheshimiwa kumbe umo humu sasa ombi langu moja tu kwako:Umekosa kazi ya kufanya? Umekosa story ya kuandika? Ongelea hata Simba na Yanga tu. Kuliko KUONGELEA USICHOKIJUA.
Kama unataka kugombea Iramba, gombea tuu kwa kusema utafanya nini, hakuna jimbo lolote ni mali ya mtu, huna haja ya kutumia jina la Magufuli kumtishia Mwigulu, Mbunge aliyepo ni Mwigulu na ni Mbunge wa jimbo la Iramba na amechaguliwa na wana Iramba na sio Mbunge wa jimbo la Magufuli, hivyo hivyo vitisho vya kuwa Magufuli atamkata, usitishe watu, wanaochagua ni wana Iramba, wakijiona kama bado wanamuhitaji Mwigulu wao na Magufuli kweli akamkata, its up to Wanairamba kumkubali huyo atakayepitishwa au kumchukua Mwigulu wao na kumrudisha kupitia chama kingine, hivyo ndivyo wapinzani wengi waliingia bungeni toka Dr. Slaa hadi Mwambe.
PMwigulu Lameck Nchemba, Is The Most Genuine So Far!-Can Make The Best President!-Nimeguswa!
Wanabodi, Tuweke ushabiki pembeni, kati ya watangaza nia watatu kati ya jana na leo, Mwigulu Lameck Nchemba ndiye mgombea who is the most bonafide genuine so far, ukimuangalia huku unamsikiliza, utaiona his genuinety kutoka moyoni mwake 'to practice what he preach' kwa aliyoyasema yanaonekana...www.jamiiforums.com
chizcom,
Mkuu tunashukuru kwa mchango wako, nakushauri achana na michango ya siasa rudi shule kwanza ukijifunze kuandika kwa usahihi, kama kuweka koma, nukta na matumizi ya herufi kubwa na ndogo. Pia una tatizo la matumizi ya herufi H kwenye uandishi wako. Usidhalilishe shule za kata tafadhali.
Mheshimiwa hivi kuongelea Simba na Yanga ni kwa wale wasiojua? Nafikiri issue ni kueleweshana tu unachokijua ambacho mimi sikijui. Kama kuna mambo umefanyia Iramba yaseme Mheshimiwa - hicho tu!Umekosa kazi ya kufanya? Umekosa story ya kuandika? Ongelea hata Simba na Yanga tu. Kuliko KUONGELEA USICHOKIJUA.
Wanayajua Wanairamba, Siwajibiki kukwambia wewe. Na Panapohitaji ufafanuzi kila mwaka napita kila Kijiji kufafanua na kupata maoni yaoMheshimiwa hivi kuongelea Simba na Yanga ni kwa wale wasiojua? Nafikiri issue ni kueleweshana tu unachokijua ambacho mimi sikijui. Kama kuna mambo umefanyia Iramba yaseme Mheshimiwa - hicho tu!
Nauhakika hiyo kila mwaka mwisho ni mwaka huu kwani kuanzia mwakani wewe utatakiwa kushirikiana na mbunge ajaye kumpa ama kumuhoji taarifa ya kijiji husikaWanayajua Wanairamba, Siwajibiki kukwambia wewe. Na Panapohitaji ufafanuzi kila mwaka napita kila Kijiji kufafanua na kupata maoni yao
Mhe.Mwigulu Nchemba kumbe upo Mheshimiwa!Wanayajua Wanairamba, Siwajibiki kukwambia wewe. Na Panapohitaji ufafanuzi kila mwaka napita kila Kijiji kufafanua na kupata maoni yao
Ya kila kijiji hapana Mheshimiwa - mbona sijakuona wala kukusikia kijijini kwetu. Ila bhana shangazi yangu bado anavaa ile t-shirt ulimgawia wkt wa Uchaguzi MWaka 2015. Ulimsaidia sana Mheshimiwa.Wanayajua Wanairamba, Siwajibiki kukwambia wewe. Na Panapohitaji ufafanuzi kila mwaka napita kila Kijiji kufafanua na kupata maoni yao
LABDA MB AJAE WA JF, ILA KWA IRAMBA WASUBIRIE WANAIRAMBA WAKUPE MAJIBUNauhakika hiyo kila mwaka mwisho ni mwaka huu kwani kuanzia mwakani wewe utatakiwa kushirikiana na mbunge ajaye kumpa ama kumuhoji taarifa ya kijiji husika
Mayu lisemwalo lipo - usipuuze kwa maneno ya kejeli hivyo. Kiula, Kilimba n.k wakati wanatoka kwenye Ubunge hawakuamini. Wewe bado kijana na umeshatumikia awamu mbili nakushauri kuwa flexible angalau anza hata kuandaa mrithi ili uondoke kwa heshima na hata ukiamua kurudi after 5 years ukikosa Urais utakuwa unaheshimika sana. Jipe likizo ndugu yangu. Niaminin mimi ukikosa Ubunge Mwaka huu ndiyo utakuwa mwisho wako kurudi kwenye chati tena.LABDA MB AJAE WA JF, ILA KWA IRAMBA WASUBIRIE WANAIRAMBA WAKUPE MAJIBU
Nakupa heko sana Kamanda. Angalau huwa unajibu hoja - kwangu mimi ungekuwa Mbunge wangu kura unapata tu mwaaaaaa!Umekosa kazi ya kufanya? Umekosa story ya kuandika? Ongelea hata Simba na Yanga tu. Kuliko KUONGELEA USICHOKIJUA.