Wabunge hawa tunawaonea tu, wao hawakusanyi kodi sasa hayo mnayotaka wafanye watazifanya kwa hela ipi?
Ni jukumu la serikali inayokusanya kodi kuratibu na kuzitumia kuleta maendeleo kwa wote bila ubaguzi.
Kama tutaendelea kuendekeza dhana ya kuwa mbunge ndio ataleta maendeleo, basi tutasubiri sana kwani akiitarifu serikali kuhusu mahitaji ya jimbo lake kisha serikali isitekeleze chochote sasa hapo atafanya nini!!
Inatakiwa tu-adopt mfumo wa majimbo (Decentralization) ili kila mkoa itumie rasilimali zake ipasavyo kujiletea hayo maendeleo, huu utaratibu wa sasa ni wa hovyo kwani rais anatumia fedha za umma kama turufu ya kutafuta sujuda kwa wananchi. This is a very stupid set up.
Ni jukumu la serikali inayokusanya kodi kuratibu na kuzitumia kuleta maendeleo kwa wote bila ubaguzi.
Kama tutaendelea kuendekeza dhana ya kuwa mbunge ndio ataleta maendeleo, basi tutasubiri sana kwani akiitarifu serikali kuhusu mahitaji ya jimbo lake kisha serikali isitekeleze chochote sasa hapo atafanya nini!!
Inatakiwa tu-adopt mfumo wa majimbo (Decentralization) ili kila mkoa itumie rasilimali zake ipasavyo kujiletea hayo maendeleo, huu utaratibu wa sasa ni wa hovyo kwani rais anatumia fedha za umma kama turufu ya kutafuta sujuda kwa wananchi. This is a very stupid set up.