Atabase Agaya
Senior Member
- Dec 7, 2011
- 120
- 41
Ushboy, huna jipya!
Wale wavivu wa kuingia mitandaoni ndiyo watakuwa hawajui history ya AK-47!
Alafu huyo Mikhail T. Kalashnikov umesema amefariki juzi?
Tukio la 23 December, 2013 unawezaje kuliita la juzi?
Wale wavivu wa kuingia mitandaoni ndiyo watakuwa hawajui history ya AK-47!
Alafu huyo Mikhail T. Kalashnikov umesema amefariki juzi?
Tukio la 23 December, 2013 unawezaje kuliita la juzi?