Mvua ni neema, tupo hapa viwanja vya barafu ( Kigogo Mburahati) muda huu.Hiyo kampeni imepata "laana" ya mvua inayonyesha mfululizo siku ya Leo......
Kama alivyowaambia wahanga wa tetemeko kule Bukoba, kuwa serikali yake haijaleta tetemeko........
Awe mpole tu kwa kuwa mvua hii inayoendelea hadi hivi sasa, kwa kuwa nayo haijaletwa na CHADEMA!
Mnamsubiri harmonize?Licha ya mvua kubwa, watu tupo hapa viwanja vya barafu (Kigogo Mburahati).
#JPM5TENA
Wanadai mvua imetumwa na mabeberu
Nadhani atatumia zile herikopta za kijani
Hayo ni mawazo yako.Mnamsubiri harmonize?
Tupia capichaMvua ni neema, tupo hapa viwanja vya barafu ( Kigogo Mburahati) mda huu
[emoji16]Hiyo kampeni imepata "laana" ya mvua inayonyesha mfululizo siku ya Leo......
Kama alivyowaambia wahanga wa tetemeko kule Bukoba, kuwa serikali yake haijaleta tetemeko........
Awe mpole tu kwa kuwa mvua hii inayoendelea hadi hivi sasa, kwa kuwa nayo haijaletwa na CHADEMA!
[emoji16]Leo sidhani km kutakuwa na kampeni. Labda Bosi wa TMA atishiwe kutumbuliwa asipoiondoa hii mvua.
Walinza sioLicha ya mvua kubwa, watu tupo hapa viwanja vya barafu (Kigogo Mburahati).
#JPM5TENA