Uchaguzi 2020 Mburahati, Dar: Yaliyojiri mkutano wa kampeni wa Dkt. Magufuli

Uchaguzi 2020 Mburahati, Dar: Yaliyojiri mkutano wa kampeni wa Dkt. Magufuli

Hiyo kampeni imepata "laana" ya mvua inayonyesha mfululizo siku ya Leo......

Kama alivyowaambia wahanga wa tetemeko kule Bukoba, kuwa serikali yake haijaleta tetemeko........

Awe mpole tu kwa kuwa mvua hii inayoendelea hadi hivi sasa, kwa kuwa nayo haijaletwa na CHADEMA!
Mvua ni neema, tupo hapa viwanja vya barafu ( Kigogo Mburahati) muda huu.
 
Polepole kichwa kinamuuma maana kapewa pesa nyingi sana za kuihujumu kuidhoofisha CHADEMA lakini mungu anawalinda hujuma zinadunda na yeye pesa anaipenda
 
Hiyo kampeni imepata "laana" ya mvua inayonyesha mfululizo siku ya Leo......

Kama alivyowaambia wahanga wa tetemeko kule Bukoba, kuwa serikali yake haijaleta tetemeko........

Awe mpole tu kwa kuwa mvua hii inayoendelea hadi hivi sasa, kwa kuwa nayo haijaletwa na CHADEMA!
[emoji16]
 
si wana ubia na waganga wajadi nchini sana wale walimtishia Membe asichukue fomu yakuchuana na Magu wazee wa Bariadi na Gamboshi ...kama vipi basi wawabipu ili wakate mvua.
 
UBUNGO KAMA MNATAKA MAENDELEO CHAGUA CCM - JPM

UBUNGO HAKUNA BARABARA ZA MITAA KWAKUA MMECHAGUA CCM

"Hakuna Makao Makuu Ya Wilaya " hii amesahau kwani tayari makao makuu ya wilaya ya ubungo ipo tayati.

MIMI NDIO NILIOMBA PESA ZA KUJENGA UBUNGO FLY OVER ...KUNA WATU WANASEMA WAO NDIO WALIOMBA ,,,NI WAONGO - JPM
 
Back
Top Bottom