Snowden E
JF-Expert Member
- Apr 27, 2018
- 1,668
- 2,908
Mvua ni neema, tupo hapa viwanja vya barafu ( Kigogo Mburahati) muda huu.Hiyo kampeni imepata "laana" ya mvua inayonyesha mfululizo siku ya Leo......
Kama alivyowaambia wahanga wa tetemeko kule Bukoba, kuwa serikali yake haijaleta tetemeko........
Awe mpole tu kwa kuwa mvua hii inayoendelea hadi hivi sasa, kwa kuwa nayo haijaletwa na CHADEMA!